Lete vigezo ulivyotumia .........??V money haingii hata nusu hapo
Mi nilidhani ungeniletea ulinganisho wa MUDA WAO KWENYE MUZIKI + WALICHOFANIKIWA = ..... Kumbe wewe unaleta vigezo vya kulumbana......????Grace matata anaimba soul v ni mshereheshaji tu kama mondi
Tatizo Unataka nikupe majibu uliyonayoMi nilidhani ungeniletea ulinganisho wa MUDA WAO KWENYE MUZIKI + WALICHOFANIKIWA = ..... Kumbe wewe unaleta vigezo vya kulumbana......????
Sema Matata ana, 1,2,3,4,5, kutokana na muziki wake sio blah blah.
Vya Matata sina,ila ninavyo vya V.money.Tatizo Unataka nikupe majibu uliyonayo
Hivyo ndio vigezo na vya mwanamziki mzuri?Mi nilidhani ungeniletea ulinganisho wa MUDA WAO KWENYE MUZIKI + WALICHOFANIKIWA = ..... Kumbe wewe unaleta vigezo vya kulumbana......????
Sema Matata ana, 1,2,3,4,5, kutokana na muziki wake sio blah blah.
Grace anatoka na one the incredible na wana mtoto wa kike.????