G 6
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 506
- 234
Siyo kila anaeimba anataka kuwa tajiri mjanjamjanja wengine wanafurahi wakiimba na kusikilizwa sababu ni vipaji vyao hela zinakuja tu but they are not after money... Huo ndo muzikimziki ni biashara.. ni zaidi ya kuimba vizuri... kuna kitu anakosea huyu dada.. aombe kazi wcb wamfundishe biashara ya mziki