G 6
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 506
- 234
Mapovu yamekutoka sababu katajwa mondi...Hapo kwenye maandishi makubwa ndio mantiki ya sentensi yake.
Mapovu yamekutoka sababu katajwa mondi...Hapo kwenye maandishi makubwa ndio mantiki ya sentensi yake.
Ana wimbo unaitwa Uwe wangu..ni hatari tupu!! Kuna muda anasound kama Toni BraxtoniHuyu dada anajua sana sana toka namsikia kwenye song lake liitwalo wimbo wangu, free soul, nyakati za mashaka nilikubari kwamba ni almasi mchangani sema tu hajashtukiwa.
Umemaliza hoja,sasa umeona uongee mipasho.Mapovu yamekutoka sababu katajwa mondi...