GPA ya 3.9 nimetemwa Master's Degree UDSM

GPA ya 3.9 nimetemwa Master's Degree UDSM

Habarini wanajamvi,
Mimi nina GPA ya 3.9 undergraduate,
Niliapply Master of Education UDSM.

Nimecheck matokeo naona wamenitema,
Na wazoefu wadai si rahisi kutemwa kwa GPA hii.

Kuna uwezekano wa/ni sawa
Kwenda pale chuoni kuulizia labda kuna kigezo fulani kilichozingatiwa kunitema tofauti na GPA ili mwakani tukijaaliwa niongeze umakini wakati wa kuapply?



Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kufikiri causalities zote..
1. isije ikawa ulituma maombi kwa njia ya posta jamaa wakawa hawajayafikisha maombi
2. Labda kuna viambatanishi kama risiti uliyolipia maombi benki na nakala nyinginezo ulijisahau kibinadamu kuviweka
3. Labda referees wako waliweka comments mbaya
...
NENDA CHUO KAOMBE UTARATIBU WA KUFANYA LATE APPLICATION..
kuwa na imani mambo yatakuwa sawa
 
Wallah ungechaguliwa nadhani vilaza wasomi wangezidi kuongezeka katika taifa letu na mwisho wa siku mutuingizie hasara, Big up UDSM
 
Bado unasoma ualimu miaka hii tafuta maisha ,tafuta pesa hiyo degree haijakusaidia bado nenda siasa
Utakuta anaenda kukopa benki zaidi ya 10 m.Halafu wakirudi ofisini wanalazimisha kupata ukuu wa idara,wakibaniwa frustration kibao
 
Na afadhali umeachwa na inaelekea hiyo GPA yako ni ya kukalili masomo.
Nani alikuambia ukiwa na GPA hiyo basi wewe ni best?
Kuomba na kupata au kakosa ni kitu cha kawaida kwa msomi yeyote, na kama unapingamizi kwa aliyesoma na kupata GPA ya kuelewa alichofundishwa angefuata utaratibu wa rufaa.
Kln kwa kuwa wewe ni wale wa kukesha kukalili majibu, na akili yako ya kukalili ukaona jamii forum ndio utaratibu wa kufuatilia.

Na utapata tabu sana kwenye interview za kazi, labda uendelee kufundisha

Sent using Jamii Forums mobile app
"Kukalili";What the hell is this supposed to mean?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom