GPA ya 3.9 nimetemwa Master's Degree UDSM

GPA ya 3.9 nimetemwa Master's Degree UDSM

Nina mashaka na elimu yako.

Na kama ni kweli unachokisema bora walivyokutema tu kwa maana hata kuandika hujui.
Elimu yangu haina mashaka yoyote.

Labda ungenisahihisha kama kuna nilipokosea kiuandishi,
Na ungesaidia kuhusu uwezekano wa kwenda kuulizia chuoni kama ni sahihi au vinginevyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ungemwelekeza tu vizuri mtanzania mwenzako. Vijembe hapa vya nini sasa?
Wonders Shall Never End.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumelelewa hivyo mkuu, kwamba ukihoji unaonekana mbishi na kama kitu hukijui vizuri unatakiwa ukae kimya na ukisema uchangie kuna msemo "kama hujui si ukae kimya"...malezi kama hayo ndio yametufikisha hapa tulipo badala ya lumsikiliza mtu na kumshauri watu wanampiga vijembe na huyo anaempiga vijembe ukute ni mtu mwenye Shahada ambae amelelewa kwenye misingi ya kujenga hoja huru hata kama haina mashiko lakini mwisho siku kile alichonacho amekitoa (but kiuhalisia ni tofauti kutokana na makuzi)

Na ndio maana hata sasa hivi kuna debate imekuwa ikiendelea kwamba kama upo against na system wewe sio mzalendo simply because unatakiwa ukubaliane na wengi hata kama moyoni unaona kabisa sio
 
Samahani wakuu ni out of discussion kidogo. Hivi GPA ya mwisho inayoruhusu mtu kusoma masters ni ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa udsm ni gpa ya 3.5 ila kuna baadhi ya kozi wanachukua chini ya hapo,Ila ni vizur ukawa na 3.5
Na afadhali umeachwa na inaelekea hiyo GPA yako ni ya kukalili masomo.
Nani alikuambia ukiwa na GPA hiyo basi wewe ni best?
Kuomba na kupata au kakosa ni kitu cha kawaida kwa msomi yeyote, na kama unapingamizi kwa aliyesoma na kupata GPA ya kuelewa alichofundishwa angefuata utaratibu wa rufaa.
Kln kwa kuwa wewe ni wale wa kukesha kukalili majibu, na akili yako ya kukalili ukaona jamii forum ndio utaratibu wa kufuatilia.

Na utapata tabu sana kwenye interview za kazi, labda uendelee kufundisha

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulisoma masomo gani kwenye undergraduate?
Kama ulisoma BA jua kabisa mko wengi ndio maana umeachwa kwenye competition, ungekua umesoma BSc saivi ungekua unajiandaa na masomo.

Sio mbaya sana mlipenda kuvaa tai na suti ngoja waliokubali kuvaa malonya na kuteseka maabara wapate nafasi kirahisi.

Nakushauri ukaombe huko kwenye vyuo vya kata kama UDOM

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
umeeleza vzuri ila mwishoni umeharibu, shetani wa mguu mmoja ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulisoma masomo gani kwenye undergraduate?
Kama ulisoma BA jua kabisa mko wengi ndio maana umeachwa kwenye competition, ungekua umesoma BSc saivi ungekua unajiandaa na masomo.

Sio mbaya sana mlipenda kuvaa tai na suti ngoja waliokubali kuvaa malonya na kuteseka maabara wapate nafasi kirahisi.

Nakushauri ukaombe huko kwenye vyuo vya kata kama UDOM

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Ukiona mtu anakujadili ujue amekukubali. Hukuweza kunshauri bila kutaja UDOM kwa njia hiyo isiyo kweli? Mbona UDOM inawapa hofu hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na afadhali umeachwa na inaelekea hiyo GPA yako ni ya kukalili masomo.
Nani alikuambia ukiwa na GPA hiyo basi wewe ni best?
Kuomba na kupata au kakosa ni kitu cha kawaida kwa msomi yeyote, na kama unapingamizi kwa aliyesoma na kupata GPA ya kuelewa alichofundishwa angefuata utaratibu wa rufaa.
Kln kwa kuwa wewe ni wale wa kukesha kukalili majibu, na akili yako ya kukalili ukaona jamii forum ndio utaratibu wa kufuatilia.

Na utapata tabu sana kwenye interview za kazi, labda uendelee kufundisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Kalili = Kariri

Kajifunze lugha utafeli interview za kazi wewe!!

Umekariri ukisoma lazima uajiriwe, acha kukariri maisha!!
 
Vigezo ni vingi mkuu, vp kuhusu deadline, uliwah?

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Habarini wanajamvi,
Mimi nina GPA ya 3.9 undergraduate,
Niliapply Master of Education UDSM.

Nimecheck matokeo naona wamenitema,
Na wazoefu wadai si rahisi kutemwa kwa GPA hii.

Kuna uwezekano wa/ni sawa
Kwenda pale chuoni kuulizia labda kuna kigezo fulani kilichozingatiwa kunitema tofauti na GPA ili mwakani tukijaaliwa niongeze umakini wakati wa kuapply?



Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda pia programme uliyoomba Masters haiendani na programme uliyosoma undergraduate.
- pai Kuna vitu hukuambatanisha ubapoomba chuo.
-Kuna vigezo hukutimiza
-Hukufuata deadline


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona mtu anakujadili ujue amekukubali. Hukuweza kunshauri bila kutaja UDOM kwa njia hiyo isiyo kweli? Mbona UDOM inawapa hofu hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajifurahisha wewe UDOM inampa hofu nani au unadhani chuo ni kama chama cha siasa?



Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom