GPA ya 3.9 nimetemwa Master's Degree UDSM

GPA ya 3.9 nimetemwa Master's Degree UDSM

Unataka kuniambia TIA, CBE, ARDHI, IFM nk ni pagumu zaidi au ni bora kuliko mzumbe kutokana na purukushani za jiji??
Bro jaribu kupekecha ubongo wako kidogo.. ninachokataa ni kuwa GPA ya 3.9 ya mzumbe iwe sawa na 3.2 ya UDSM kisa nini.. mbona hata law school na hata NBAA udsm ni wa kawaida sana na always wanasanda game..?? Hawako bright kama wale wa Mzumbe na Sua hata makazini hili linaoneka wazi..
Daa leo umenifungua macho [emoji15] [emoji15] kumbe mzumbe wanatoa product safi kuliko hata udsm, enzi hizo tunachagua vyuo kuna vingine nilikuwa hatasipitishi macho kwenye guide book kuangalia kinatoa kozi gani sababu ya stori za kitaa nilikuwa najua udsm, sua, muhas, na ardhi ndo vipanga wanaenda.
Vyuo vingine wanachaguliwa wenye madaraja ya chini ya ufaulu aka vilaza sikudhan kuwa shule ni mtu nasio majengo wala jina,
Pia udsm wana utaratibu waku undervalue gpa za vyuo vingine hatakama vinatoa product safi kuliko za udsm ni bora wachukue 2.7 ya mtu wa udbs au conas kuliko ya chuo kingine.
 
Daa leo umenifungua macho [emoji15] [emoji15] kumbe mzumbe wanatoa product safi kuliko hata udsm, enzi hizo tunachagua vyuo kuna vingine nilikuwa hatasipitishi macho kwenye guide book kuangalia kinatoa kozi gani sababu ya stori za kitaa nilikuwa najua udsm, sua, muhas, na ardhi ndo vipanga wanaenda.
Vyuo vingine wanachaguliwa wenye madaraja ya chini ya ufaulu aka vilaza sikudhan kuwa shule ni mtu nasio majengo wala jina,
Pia udsm wana utaratibu waku undervalue gpa za vyuo vingine hatakama vinatoa product safi kuliko za udsm ni bora wachukue 2.7 ya mtu wa udbs au conas kuliko ya chuo kingine.
Stori za kitaa ndo zinaharibu vijana wetu. Baadala ya kuangalia chuo kimejipangaje kutoa program (course) fulani-angalia staffing, anagalia pia mtiririko wa course etc-mtu anasikiliza stori bila kujiongeza. Matokeo yake wengine hata chuo hukosa au kwenda kwenye chuo chenye jina lakini si bora zaidi kwenye hiyo program.
Kila chuo kina wanafunzi wake wa division 3 kutegemea na ushindani uliopo. Kila aliepata point 4 a-level au GPA 2.7 au vingenevyo anastahili kupata selection vinginevyo inaashiria upungufu wa capacity ya vyuo vikuu. Kuna wakati UDSM walikua wanaundervalue GPA za vyuo vingine lakini sasa vyuo vinakomaa, watu wanajilipia, mawazo yanabadilika hata UDSM wanalegeza kamba. Nimeota SAUT nao wameiga hiyo sijui wataishia wapi.
 
Habarini wanajamvi,
Mimi nina GPA ya 3.9 undergraduate,
Niliapply Master of Education UDSM.

Nimecheck matokeo naona wamenitema,
Na wazoefu wadai si rahisi kutemwa kwa GPA hii.

Kuna uwezekano wa/ni sawa
Kwenda pale chuoni kuulizia labda kuna kigezo fulani kilichozingatiwa kunitema tofauti na GPA ili mwakani tukijaaliwa niongeze umakini wakati wa kuapply?



Sent using Jamii Forums mobile app
Cheti cha form four bwana
 
LA SABA=mungu saidia
FORM 2=kafeli na kurudia mwaka
FORM 4=dv 4..point 28
CERT. = tia maji×2
DIPLOMA= gpa.3.2
B/DEGREE= GPA 3.9...



KAMA NI WEWE UNGETOA MASTERS??
 
Ulisoma masomo gani kwenye undergraduate?
Kama ulisoma BA jua kabisa mko wengi ndio maana umeachwa kwenye competition, ungekua umesoma BSc saivi ungekua unajiandaa na masomo.

Sio mbaya sana mlipenda kuvaa tai na suti ngoja waliokubali kuvaa malonya na kuteseka maabara wapate nafasi kirahisi.

Nakushauri ukaombe huko kwenye vyuo vya kata kama UDOM

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Hivi umevuta kwanza ndo ukacomment au?
 
Na afadhali umeachwa na inaelekea hiyo GPA yako ni ya kukalili masomo.
Nani alikuambia ukiwa na GPA hiyo basi wewe ni best?
Kuomba na kupata au kakosa ni kitu cha kawaida kwa msomi yeyote, na kama unapingamizi kwa aliyesoma na kupata GPA ya kuelewa alichofundishwa angefuata utaratibu wa rufaa.
Kln kwa kuwa wewe ni wale wa kukesha kukalili majibu, na akili yako ya kukalili ukaona jamii forum ndio utaratibu wa kufuatilia.

Na utapata tabu sana kwenye interview za kazi, labda uendelee kufundisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno yote yaninii?? Wabongo banaaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom