Google pixel 5a 5g

Google pixel 5a 5g

We take the throne after one year, if dont see xiaomi it might be in the TECNO groupView attachment 2470786
Ungetuma na link inayoonesha hizo takataka kwanza tuikosoe hiyo website, sio unatuletea screenshoots tu
Samsung Galaxy S22 Ultra na kaka yake Google Pixel 7 Pro wote wamekalishwa chini na Xiaomi 12S Ultra na Xiaomi 13Pro. Nenda kazipambanishe kupitia website yoyote ile unayoijua na sio kuangalia list ambazo hata mimi naweza kuandaa[emoji38][emoji38]
Google, kila website ina list yake na mara nyingi wanatengeneza list hizo kulingana na mapenzi yao wenyewe au availability kwenye market.
Lakini ukizipambanisha hizo simu utagundua hapo wa kumpita Xiaomi 13 Pro ni iPhone 14 Pro Max tu. Hta benchmarks zinaonesha
Endelea kuamini hizo list, sijui umeiokotea wapi[emoji38][emoji38]
 
Ungetuma na link inayoonesha hizo takataka kwanza tuikosoe hiyo website, sio unatuletea screenshoots tu
Samsung Galaxy S22 Ultra na kaka yake Google Pixel 7 Pro wote wamekalishwa chini na Xiaomi 12S Ultra na Xiaomi 13Pro. Nenda kazipambanishe kupitia website yoyote ile unayoijua na sio kuangalia list ambazo hata mimi naweza kuandaa[emoji38][emoji38]
Google, kila website ina list yake na mara nyingi wanatengeneza list hizo kulingana na mapenzi yao wenyewe au availability kwenye market.
Lakini ukizipambanisha hizo simu utagundua hapo wa kumpita Xiaomi 13 Pro ni iPhone 14 Pro Max tu. Hta benchmarks zinaonesha
Endelea kuamini hizo list, sijui umeiokotea wapi[emoji38][emoji38]
Kaka xiaomi sio simu ya ku-compete na Samsung, iphone wala pixel, It is not even in top five ya top phones duniani. Tafuta websites zinazo compare simu based on reviews za watumiaji kama utaona hiyo xiaomi yako.

Based on Users review, best phones

1. Iphone 14 pro
2. Gogle pixel 7 pro
2. Samsung 22 ultra na Z fold

Xiaomi is not even close.

Nenda kafanye homework ukusanye reviews za watumiaji maana wewe hutumii hizo simu hapo
 
Ipi kali kati ya googke pixel 5 na 5a?
Pixel 5 has more RAM, a display with a higher refresh rate, and wireless as well as reverse wireless charging. It also sports better water protection with its IP68 rating and supports mmWave 5G technology. 5 A maana yake 5 average HIVYO go for 5
 
Ungetuma na link inayoonesha hizo takataka kwanza tuikosoe hiyo website, sio unatuletea screenshoots tu
Samsung Galaxy S22 Ultra na kaka yake Google Pixel 7 Pro wote wamekalishwa chini na Xiaomi 12S Ultra na Xiaomi 13Pro. Nenda kazipambanishe kupitia website yoyote ile unayoijua na sio kuangalia list ambazo hata mimi naweza kuandaa[emoji38][emoji38]
Google, kila website ina list yake na mara nyingi wanatengeneza list hizo kulingana na mapenzi yao wenyewe au availability kwenye market.
Lakini ukizipambanisha hizo simu utagundua hapo wa kumpita Xiaomi 13 Pro ni iPhone 14 Pro Max tu. Hta benchmarks zinaonesha
Endelea kuamini hizo list, sijui umeiokotea wapi[emoji38][emoji38]
Blind Smartphone Camera victory zimeongoza simu za google pixel. Pixel 6a na pixel 7.

Sasa hiyo xiaomi imezipiku hizo camera wapi?
 
Kaka xiaomi sio simu ya ku-compete na Samsung, iphone wala pixel, It is not even in top five ya top phones duniani. Tafuta websites zinazo compare simu based on reviews za watumiaji kama utaona hiyo xiaomi yako.

Based on Users review, best phones

1. Iphone 14 pro
2. Gogle pixel 7 pro
2. Samsung 22 ultra na Z fold

Xiaomi is not even close.

Nenda kafanye homework ukusanye reviews za watumiaji maana wewe hutumii hizo simu hapo
Kumbe list yenyewe inaangalia user's review ambazo mtu anacomment anavyojisikia[emoji38][emoji38]. Sasa mbona ulikuwa unatuambia hiyo ni list ya simu bora duniani
Mimi nataka comparison ya Xiaomi 13 Pro Vs Google Pixel 7 Pro, na sio vilist vya ajabuajabu ulivyoviokota mitandaoni
View attachment 2471458
 
Blind Smartphone Camera victory zimeongoza simu za google pixel. Pixel 6a na pixel 7.

Sasa hiyo xiaomi imezipiku hizo camera wapi?
Ipo hivi, kwenye camera ni tie, hakuna mshindi.
Google Pixel ina new AI camera features ambazo kwenye Xiaomi hazipo ila Xiaomi naye ana new LEICA features ambazo kwenye Pixel hazipo, pia Pixel 7 Pro inarekodi 4K videos kwenye kamera ya mbele wakati Xiaomi 13 Pro anaishia 1080p kwenye selfie camera.
Lakini sasa, Xiaomi 13 Pro inatoa video za high quality kwenye kamera ya nyuma kuliko hiyo Google Pixel 7 Pro kwa sababu inarekodi 8K videos na Google Pixel wameishia 4K
Screenshot_20230106-235035.jpg
 
Ipo hivi, kwenye camera ni tie, hakuna mshindi.
Google Pixel ina new AI camera features ambazo kwenye Xiaomi hazipo ila Xiaomi naye ana new LEICA features ambazo kwenye Pixel hazipo, pia Pixel 7 Pro inarekodi 4K videos kwenye kamera ya mbele wakati Xiaomi 13 Pro anaishia 1080p kwenye selfie camera.
Lakini sasa, Xiaomi 13 Pro inatoa video za high quality kwenye kamera ya nyuma kuliko hiyo Google Pixel 7 Pro kwa sababu inarekodi 8K videos na Google Pixel wameishia 4KView attachment 2471464

Nadhani tulikuwa tunaongelea Xiaomi vs google pixels.

Na hakuna aliekataa iphone anarecord video bora.

Still maelezo hayana mantiki kama hakuna significant comparison kwenye real world test.

Nimekwambia huyo mkbhd amefanya blind camera smartphone test na pixels zimeshinda by miles.

Iweje uniletee screenshots zisizo na kichwa wala miguu. Numbers don't matter if they are not showing real world results.

Na camera zote za simu za kisasa zina image processing softwares. Tena ni advanced by miles.

Pixel 7 camera ndo talk of the town hii ni based on the reviewers mitandaoni. Hata Iphone anasubiri hapo.

Nasubiri Samsung atakuja na nini mwezi huu, ila as of now huyo Xiaomi ni takataka kulinganisha na Pixels. Hata ulete screenshots 1000.

Maelezo yangu yamebase kwenye pixel vs xiaomi. Sio pixel vs iphone.
 
Kumbe list yenyewe inaangalia user's review ambazo mtu anacomment anavyojisikia[emoji38][emoji38]. Sasa mbona ulikuwa unatuambia hiyo ni list ya simu bora duniani
Mimi nataka comparison ya Xiaomi 13 Pro Vs Google Pixel 7 Pro, na sio vilist vya ajabuajabu ulivyoviokota mitandaoni
View attachment 2471458
Simu kubwa duniani ni 3 tu.

1. Iphone
2. Pixel
3. Samsung

Ukiona simu ikitoka hata watu hawaiwazi wala kuhangaika nayo ujue bado sana. Hata ijazwe flagship features gani.
 
Nadhani tulikuwa tunaongelea Xiaomi vs google pixels.

Na hakuna aliekataa iphone anarecord video bora.

Still maelezo hayana mantiki kama hakuna significant comparison kwenye real world test.

Nimekwambia huyo mkbhd amefanya blind camera smartphone test na pixels zimeshinda by miles.

Iweje uniletee screenshots zisizo na kichwa wala miguu. Numbers don't matter if they are not showing real world results.

Na camera zote za simu za kisasa zina image processing softwares. Tena ni advanced by miles.

Pixel 7 camera ndo talk of the town hii ni based on the reviewers mitandaoni. Hata Iphone anasubiri hapo.

Nasubiri Samsung atakuja na nini mwezi huu, ila as of now huyo Xiaomi ni takataka kulinganisha na Pixels. Hata ulete screenshots 1000.

Maelezo yangu yamebase kwenye pixel vs xiaomi. Sio pixel vs iphone.
Mkuu hiyo ni Xiaomi 13 Pro, sio iPhone 13 Pro. Nadhani niliwachanganya nilivyoicrop hiyo screenshot. Angalia tena hapa
Xiaomi 13 Pro vs Google Pixel 7 Pro
Screenshot_20230107-013034.jpg
Screenshot_20230107-013050.jpg
 
Simu kubwa duniani ni 3 tu.

1. Iphone
2. Pixel
3. Samsung

Ukiona simu ikitoka hata watu hawaiwazi wala kuhangaika nayo ujue bado sana. Hata ijazwe flagship features gani.
Xiaomi haziongelewi sana kwa sababu kampuni haijabase kwenye marketing, wao wanauza simu zao wenyewe na hawana store kwenye nchi nyingi sana, Hata U.S.A Xiaomi zipo chache sana, yeye amebase China na India ndio maana mimi siongelei umaarufu, nataka real comparison ya simu zenyewe Xiaomi 13 Pro vs Google Pixel 7 pro
Safari hii kuwa makini, usije ukachanganya Xiaomi 13 pro na iPhone 13 Pro kama ulivyofanya hapo juu
 
Halafu mkuu Bavaria unaita Xiaomi takataka wakati Xiaomi 13 Pro ni kali kuliko Samsung Galaxy S22 Ultra na hiyo Google Pixel 7 Pro. Nadhani umekariri bob
Mimi nainachotaka sio ubishi, nataka wewe uende google uzishindanishe Xiaomi 13 Pro vs Google Pixel 7 Pro. Usilete hiyo list kwa sababu haipo fair. Compare products mbili wewe mwenyewe au kupitia review za watu (COMPARISON sio LIST)
Hizo list zimekaa kishabiki, halafu suala la kusema simu ni tatu tu iPhone, Samsung na Google Pixel hiyo ilikuwaga zamani si sasa tena kwa hiyo usikariri, tunatakiwa kujiupdate kila mara competition katika technology inavyochange.
  • Xiaomi 13 Pro inarekodi 8K videos kwenye kamera, Google Pixel 7 Pro inarekodi mwisho 4K tu, kwenye video quality mshindi ni Xiaomi, picture quality mshindi ni Google Pixel
  • Kwenye perfomance hakuna ubishi, chipset ya Google Tensor G2 ya kwenye Pixel 7 Pro ni weaker kuliko Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2 ya Xiaomi 13 Pro, tena tofauti kubwa ndo ipo hapa. Hata AnTuTu score za Xiaomi 13 Pro ni kubwa na zinazidi 1,200,000 points wakati Google Pixel 7 Pro points zake zinarange around 800,000, kinachoiangusha Pixel ni hiyo chipset
  • Kwenye display, comparison zinaonesha display ya Xiaomi 13 Pro ni ya higher quality kuliko ya Google Pixel 7 Pro
Sasa mkuu ww kwa nini unaforce tutumie hiyo list wakati unajua kila website inajitengenezea list kulingana na mapenzi yake? Na unajua globally, Xiaomi haijawa popular kutokana na poor marketing hivyo kwenye baadhi ya list hawapendi kuziconsider kutokana na kwamba availability yake sio kubwa kama hizo brand nyingine.
Pia kwenye list iliyoletwa unapaswa ushangae tangu lini oppo imeishinda Xiaomi[emoji38][emoji38]
Nimekuona kwenye comment ukisifia 13 Pro kwa kudhani kuwa ni iPhone bila kujua kuwa ni Xiaomi[emoji23][emoji23] Hii inaonesha kuwa Xiaomi ni simu nzuri na umezikubali, ila huwezi sema mbele ya watu kutokana na hali ilipofikia kwenye hii thread kwa sasa[emoji28][emoji28] ila walau moyoni dawa imeingia.
Halafu nina swali la mwisho moja tu "HIVI MKUU KWA NINI UNAOGOPA KUJIKITA KWENYE COMPARISON YA HIZI SIMU MBILI BADALA YAKE UNATAKA TUONGELEE LIST YAKO? KAMA KWELI UNAJIAMINI KABISA KWAMBA HIZO NDIO SIMU BORA DUNIANI KWA SASA MBONA SASA UNAOGOPA HIYO BATTLE?[emoji38][emoji38]
 
Hiyo xiaomi 13 pro linatumika china tu. (Chinese version) hutalinganishaje na simu za dunia. Ukitaka ujue pixel wakali kwenye camera software piga picha kwa kutumia hiyo simu yako ya xiaomi 13 pro harafu post kwenye mtandao wowote km facebook na wa pixel naye apost. Utakuja kujua google pixel inatisha.
 
Simu kubwa duniani ni 3 tu.

1. Iphone
2. Pixel
3. Samsung

Ukiona simu ikitoka hata watu hawaiwazi wala kuhangaika nayo ujue bado sana. Hata ijazwe flagship features gani.
Bora kaka maana nimechoka kutype
 
Hiyo xiaomi 13 pro linatumika china tu. (Chinese version) hutalinganishaje na simu za dunia. Ukitaka ujue pixel wakali kwenye camera software piga picha kwa kutumia hiyo simu yako ya xiaomi 13 pro harafu post kwenye mtandao wowote km facebook na wa pixel naye apost. Utakuja kujua google pixel inatisha.
Kwa picha Pixel anatisha, sikatai. Vipi kuhusu video quality
Tatizo Google Pixels zimebase kwenye kamera na software lakini ukija huku kwingine kote anafunikwa na Xiaomi. Tena kwenye kamera ni tie, hakuna mshindi.
Halafu habari za kutumika China hapa hazihusiki, hata Bongo unatumia fresh tu ingawa ni Chinese version, global inaweza toka mwaka huu labda, sijui maana AliExpress nimeziona global version. Mimi ninachotaka ni battle tu Xiaomi 13 Pro vs Google Pixel 7 Pro, ipi ni simu kali all rounder
 
Hiyo xiaomi 13 pro linatumika china tu. (Chinese version) hutalinganishaje na simu za dunia. Ukitaka ujue pixel wakali kwenye camera software piga picha kwa kutumia hiyo simu yako ya xiaomi 13 pro harafu post kwenye mtandao wowote km facebook na wa pixel naye apost. Utakuja kujua google pixel inatisha.
Xiaomi na tecno latest na kaka na mdogo
 
Bora kaka maana nimechoka kutype
Tatizo mnaongea ushabiki tu huku facts mnazikataa, kwa nini mnaogopa sana kuzilinganisha hizo simu mbili kwa facts[emoji23][emoji23].. Mnaujua moto wa Xiaomi eeh


Mtag mtu yoyote wa Jamii Forums anayejua mambo ya teknolojia kama CHIEF MKWAWA halafu umuulize kuhusu hizi simu mbili akujibu bila upendeleo ujionee mwenyewe ipi itashinda[emoji38][emoji38]
 
Xiaomi haziongelewi sana kwa sababu kampuni haijabase kwenye marketing, wao wanauza simu zao wenyewe na hawana store kwenye nchi nyingi sana, Hata U.S.A Xiaomi zipo chache sana, yeye amebase China na India ndio maana mimi siongelei umaarufu, nataka real comparison ya simu zenyewe Xiaomi 13 Pro vs Google Pixel pro
Safari hii kuwa makini, usije ukachanganya Xiaomi 13 pro na iPhone 13 Pro kama ulivyofanya hapo juu
Users ni marketing tosha huna haja ya kuwa na stores over the world to have the best camea or user interface.

Apple hana stores tanzania ila mauzo ya iphones tanzania yanaongezeka kila kukicha iwe used or brand new.

Apple anauza the overall user interface.

Samsung anauza the best display in the industry

Google pixel anauza the best camera.

Xiaomi anauza nini?
 
Back
Top Bottom