tatizo ujuaji mwingi ndio unawaponza ma-blogger wachanga, kila siku mnalia tunafungiwa account mkipewa ushauri mnataka cheque za propeller that is nonsense...++>> hata hujua malipo ya propeller yanafanyika kwa njia gani??,, unadhani wanalipa kwa cheque???endelea kupambana na adsense tuu na utafungiwa mpaka uzeeni,,, kwa sasa approx 85% ya blogger wakongwe hakuna anayejaribu kugusa adsense,, hizo adsense tumefungiwa sana wengine zikiwa na dollar 3000$-5000$.. Tatizo umeijua adsense juzi(am sure hauna miaka miwili kwenye adsense) huwezi kuelewa mambo yanavyokwenda..