Google Adsense

Google Adsense

Eti wataalam je nikinunua account ya adsence kwa mtu na nikawa nina blog ya kiswahili itakubali....
 
40c9e413327738ec86d1c102a60d8c0d.jpg
wamenijibu ivyo jamany site yangu ni www.onebigrocktz.co.tz
 
Trick not accepted unless otherwise unataka ufungiwe na mpunga usiupatate, mbaya zaidi uwa wana block bado kidogo upoke mpunga wako. so Play fair and get what you deserve.
MKUU wakiblock account inakuaje yani,maana nawasiwasi juu ya acount yangu
 
kwenye hiyo blog yako kuna post ngapi....??? mi naona kuna vi-post havizidi vitano...
Oooh kumbe shida ni post mkuuu ito web ni mpya so post naendelea kuweka taratibu kama ni ilo tu basi watanipa izo adsence soon.
 
Habari, wanaIT nimeona threads nying humu ndani watu wanasema google adsense ni ngumu kupata, mbona mimi nimepata kirahisi tu nilivyofata masharti yao na wamenipa. Kwanza waliniambia itakuwa blank then after on day waka activate na sasa yanaonekana.

Cheki hapa: uwamini maneno yangu: Afyazone - Ask experts about your health ujionee kwa macho yako.
Makala za kizunguuu mbn kk
 
Back
Top Bottom