Google Adsense

mmm mi adsense yangu sijui imerogwa na nani? kila kitu kipo sawa ila matangazo hayaonekani kene blog yangu. Browser iko empty fresh hakuna adblocker wala takataka yeyote na kwenye dashboard ya adsense inasema ads ziko active! msaada

nicheki inbox, nikusetie upya
 
mmm mi adsense yangu sijui imerogwa na nani? kila kitu kipo sawa ila matangazo hayaonekani kene blog yangu. Browser iko empty fresh hakuna adblocker wala takataka yeyote na kwenye dashboard ya adsense inasema ads ziko active! msaada

Inawezwa kusababishwa na security ya internet au router unayotumia sometimes, pia kama unatumia hotspot kwa simu yenye line ya tigo. Pia kama unatumia Windows 10 update inaweza kuwa ishu. Jaribu kutumia computer nyingine kwa kutumia isp mwingine au mtumie rafiki yako URL akuangalizie kama zinaonekana
 
  • Thanks
Reactions: _ID
vipi mkuu kama umejua siri na sisi wengine tunaomba utujuze tufanyeje maana wengine ndiyo tunategemea adsense kama ajira kwa hiyo tukifungiwa account fb ni majanga.kama mimi jana nilipost habari kwenye groop moja tu ile najaribu kupost groop linginje wamenifungia tayari siku kumi nimeshangaa sana nashindwa kuelewa nifanyeje.au nitumie njia gani mkuu

Usipost moja kwa moja kwenye groups, fungua facebook page , jipe u-Admin halafu unapost kwenye wall yako, unashare kwenye page yako, unaanza kushare kutokea kwenye page kwenda kwenye groups. Never do it too fast , weka interval kama sekunde 3 kwa kila share
 
Wataalm naomba msaada ni application gani ya sim hizi za android ambayo inaweza ku track iwapo sim iimeibiwa?
 
mmm mi adsense yangu sijui imerogwa na nani? kila kitu kipo sawa ila matangazo hayaonekani kene blog yangu. Browser iko empty fresh hakuna adblocker wala takataka yeyote na kwenye dashboard ya adsense inasema ads ziko active! msaada

Template unayoitumia sio rafiki au hai suport adsense
 
nadhani ni kwa vile umechukua Web Niche nzuri ya Afya ni rahisi kupata alafu web umeidesign fresh sana template nzuri kinoma iko clean...kaza umepige hela ila achana na ishu za Adsense trick me nalia huku usijaribu!!
 
nadhani ni kwa vile umechukua Web Niche nzuri ya Afya ni rahisi kupata alafu web umeidesign fresh sana template nzuri kinoma iko clean...kaza umepige hela ila achana na ishu za Adsense trick me nalia huku usijaribu!!
Pole anko
 
Almost ume spend some money coz umefungua blog then ume nunua premium template.
Case inayo kuja wengi wanataka site zenye content za kiswahili zipate ndo wanapo kwana, so thus why wengi wana complain.
My take adsence walipa vizuri, jitahidi sana kukuza traffic na uta make money na utarudisha pesa ulio hii spend.
 
nadhani ni kwa vile umechukua Web Niche nzuri ya Afya ni rahisi kupata alafu web umeidesign fresh sana template nzuri kinoma iko clean...kaza umepige hela ila achana na ishu za Adsense trick me nalia huku usijaribu!!
Adsence trick zinakuliza kivipi
 
Adsence trick zinakuliza kivipi
Trick not accepted unless otherwise unataka ufungiwe na mpunga usiupatate, mbaya zaidi uwa wana block bado kidogo upoke mpunga wako. so Play fair and get what you deserve.
 
Habari, wanaIT nimeona threads nying humu ndani watu wanasema google adsense ni ngumu kupata, mbona mimi nimepata kirahisi tu nilivyofata masharti yao na wamenipa. Kwanza waliniambia itakuwa blank then after on day waka activate na sasa yanaonekana.

Cheki hapa: uwamini maneno yangu: Afyazone - Ask experts about your health ujionee kwa macho yako.
site yako imekaa vizuri mkuu hongera.
 
Habari, wanaIT nimeona threads nying humu ndani watu wanasema google adsense ni ngumu kupata, mbona mimi nimepata kirahisi tu nilivyofata masharti yao na wamenipa. Kwanza waliniambia itakuwa blank then after on day waka activate na sasa yanaonekana.

Cheki hapa: uwamini maneno yangu: Afyazone - Ask experts about your health ujionee kwa macho yako.
huku kupo safi hapa ni asubuhi zipo 28.176$. mpaka usiku zimefika dollar 200$, hizo adsense hata usipotumia tricks huwezi kutoa zaidi ya dollar 500$ kwa mwezi lazima iwe disabled haswa account mpya.. labda uwe na organic traffic .. wakati kwa revenuehits na propellarads unatoa zaidi ya dollar 3000$ kwa mwezi..ni traffic yako tuu
****NOTE****
Cha muhimu nakupa kongole(hongera) site yako ipo vizuri sana,clear na niche nzuri, endelea kukomaa na unique and original contents na jaribu kukuza organic traffic utafika mbali hata mimi nina site kama hiyo(niche site) but ime-base kwenye I.T.
propellarads.PNG
 
huku kupo safi hapa ni asubuhi zipo 28.176$. mpaka usiku zimefika dollar 200$, hizo adsense hata usipotumia tricks huwezi kutoa zaidi ya dollar 500$ kwa mwezi lazima iwe disabled haswa account mpya.. labda uwe na organic traffic .. wakati kwa revenuehits na propellarads unatoa zaidi ya dollar 3000$ kwa mwezi..ni traffic yako tuu
****NOTE****
Cha muhimu nakupa kongole(hongera) site yako ipo vizuri sana,clear na niche nzuri, endelea kukomaa na unique and original contents na jaribu kukuza organic traffic utafika mbali hata mimi nina site kama hiyo(niche site) but ime-base kwenye I.T.
View attachment 457189
Ivi izo google adsence mpaka kua applay lazima uwe umepost .topic ngapi na ni vitu gani muhimu wanahitaji sana kwenye website yako viwepo
 
Ivi izo google adsence mpaka kua applay lazima uwe umepost .topic ngapi na ni vitu gani muhimu wanahitaji sana kwenye website yako viwepo
ukiwa na post original 100 za kiingereza zilizoshiba lazima wa-agree..chini ya hapo unaweza kupata au kukosa...
 
ndivyo ilivyo kwenye mtandao ukiona kuna pesa inayokuja kirahisi ujue ndani yake kuna utapeli au ni scam..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom