onebigrocktz
Member
- Jan 11, 2017
- 43
- 32
Asanteidea yako iko poa jitahidi kutafuta background color nzuri
Asanteidea yako iko poa jitahidi kutafuta background color nzuri
Hii mbona iko kwa kiswahili na ina adsence za google
Hii mbona iko kwa kiswahili na ina adsence za google
kama unataka matangazo yatokee kwa kiswahili tumia template za code nirvana matangazo yanatokea vizuri, ila kufungiwa matangazo ni wakati wowote.Hii mbona iko kwa kiswahili na ina adsence za google
wabongo bwana..yani kumwambia baadhi ya template kama hayo ma-template ya code nirvana yana support kiswahili unaona shida.. kwanza hayo ma-template ni hovyo kabisa kwa kuwa haya index na google so kupata visitors lazima u-share kwenye social network.. nadhani hilo hulijui!!!!!!Mm mwenyewe sina majibu
Hapo sawahkama unataka matangazo yatokee kwa kiswahili tumia template za code nirvana matangazo yanatokea vizuri, ila kufungiwa matangazo ni wakati wowote.
Ndo kuchangamkia fursa au?Adsense inauzwa imetoa mkwanja zaid ya mara 4 na ina dola 29, ni PM fasta tuongee
Kivyovyote tuNdo kuchangamkia fursa au?
wabongo bwana..yani kumwambia baadhi ya template kama hayo ma-template ya code nirvana yana support kiswahili unaona shida.. kwanza hayo ma-template ni hovyo kabisa kwa kuwa haya index na google so kupata visitors lazima u-share kwenye social network.. nadhani hilo hulijui!!!!!!
nenda kwenye blogger then template then edit html find head open tag <head>, then hiyo code iweke after <head>masaaada na zipest wapi izi kitu![]()
Natumia WordPress websitene
nenda kwenye blogger then template then edit html find head open tag <head>, then hiyo code iweke after <head>
nenda kwenye blogger then template then edit html find head open tag <head>, then hiyo code iweke after <head>masaaada na zipest wapi izi kitu![]()
nina blog zangu 2 hizi Paschal Silaa's BLOG na tech hacks you should know zina contents na traffics za kutosha ntawezaje kupata matangazo ya google adsenceHabari, wanaIT nimeona threads nying humu ndani watu wanasema google adsense ni ngumu kupata, mbona mimi nimepata kirahisi tu nilivyofata masharti yao na wamenipa. Kwanza waliniambia itakuwa blank then after on day waka activate na sasa yanaonekana.
nina blog zangu 2 hizi Paschal Silaa's BLOG na tech hacks you should know zina contents na traffics za kutosha ntawezaje kupata matangazo ya google adsence
Atimae nimepata adsensecontect si izi au zip tena![]()