Wanawake wa moshi na arusha mara nyingi ni viimbao mbao tu..Unaangalia vyakula unavyokula tu
Mchawi ni chakula....kwa % kubwa you are what you eat
Ama unatumia uzazi wa mpango mfano vijiti? Sindano/vidonge
ukivuka tu utaanza kutema mate sjui utaueleza nini umma.Ndio napambana nisiuvuke huo mstari sasa
Hongera mkuu,.Siri ni chakula.
Umri unavyoongezeka, mwili unahitajika kutoa zaidi ya unavyopokea. Hivyo punguza kiasi cha chakula unachokula.
Siri ipo kwenye amount ya unachokula na aina ya vyakula unavyokula.
Cha mwisho, hakikisha kazi za kuuweka mwili safi hauachi, na pia usiache kutembea ama kukimbia hapa na pale.
Yani kimsingi usikae kinyanya.
Nimeyasema hayo nikiwa mhanga wa uzito mkubwa pia, nimetoka 80Kg now niko 69Kg.
View attachment 3650237
Wanaume wanapenda...Yaani nimekua kibonge hadi najiogopa,. Nikijiangalia kwenye kioo naona aibu😭😂😂
Portable asee Chica!!siku nikifika 60kg sijui itakuwaje? 😀
Kwani ni nani aliyetoa ushauri hapo?Sijaelewa umekosea wa kumquote ama vipi
Leejay49 ana shida ya unene kwa hiyo sijajua why umetaja umbao mbao + Moshi na Arusha
Situmii uzazi WA mpango,Unaangalia vyakula unavyokula tu
Mchawi ni chakula....kwa % kubwa you are what you eat
Ama unatumia uzazi wa mpango mfano vijiti? Sindano/vidonge
Kwani ni nani aliyetoa ushauri hapo?
Uko kwenye level gani ya kiuchumi?Mkuu nakula sana sana ila sinenepi unaweza hisi mm nina 22yrs
Hatua mara nyingi ni zile zileSitumii uzazi WA mpango,
Hapo kwenye mpangilio WA chakula inabidi mnisaidie kiutaalamu zaidi ratiba niiwekeje na vyakula vya Aina gani Nile vipi nisitumie
Too personal questions. Okay byeUko kwenye level gani ya kiuchumi?
Nimetolea mfano ili ajue ya kuwa unene sio kitu cha kupunguza kama mtu ana genes za unene...Aliyetoa ushauri anahusikaje na ulichoandika?
Je, kwenu ni wanene?Aisee