Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,697
- 62,573
- Thread starter
- #41
Nataka nipungue Tu kwa kawaida,.. yaani kidogo kidogo walau nishuke hadi sabiniKilo 87 apo mbona shega mamie, sifa ya toto la kike liwe na upaja flani hivi na katumbo kwa mbali sio flat kabisa, tukubali tu tunakua Mkuu haswa kama umezaa! ila sasa uzuri uwezo wa kujipunguza nao upo inawezekana discpline tu.. ila sikushauri. We live once, enjoy n love yourself.