Goli la mkono limetimia, CCM wana akili sana

Goli la mkono limetimia, CCM wana akili sana

Sangu Jr

Member
Joined
Jun 6, 2015
Posts
14
Reaction score
7
Sitaki kuamini kwamba tayari UKAWA wamezidiwa kete na CCM, Upinzani hasa katika mgombea urais umekufa kabisa,
watanzania ni lahisi sana kudanganywa nionavyo mwaka huu CCM itakua na wagombea wawili wanaoshindana kuwania kiti kimoja, kivuli cha LOWASSA ndani ya chadema ndio kinachowavuluga watanzania ndio kilicho ficha siri hii kubwa,mwaka huu ni sawa na zile kula za chama kimoja ndio au hapana.

tusitalajie kusikia et mgombea wa UKAWA amegomea matokeo hicho hakipo na mbinu hii ndio itakayotusaidia tupite kwa amani baada ya uchaguzi huu,kwa njia hii CCM watafanikiwa kwa 100% kuzuia wapinzani wasichukue kiti kwani mwenye kauli ya mwisho kukataa au kukubari matokeo ni mgombea mwenyewe.

lowassa ni amelelewa na ccm isichukuliwe rahisi tu kuikana ccm ila kwa sasa lazima ionekane hvyo ili imani iongezeke kwake tusubiri tushuhudie haya ifikapo october! asanteni.
 
Sitaki kuamini kwamba tayari UKAWA wamezidiwa kete na CCM, Upinzani hasa katika mgombea urais umekufa kabisa,
watanzania ni lahisi sana kudanganywa nionavyo mwaka huu CCM itakua na wagombea wawili wanaoshindana kuwania kiti kimoja, kivuli cha LOWASSA ndani ya chadema ndio kinachowavuluga watanzania ndio kilicho ficha siri hii kubwa,mwaka huu ni sawa na zile kula za chama kimoja ndio au hapana,
tusitalajie kusikia et mgombea wa UKAWA amegomea matokeo hicho hakipo na mbinu hii ndio itakayotusaidia tupite kwa amani baada ya uchaguzi huu,kwa njia hii CCM watafanikiwa kwa 100% kuzuia wapinzani wasichukue kiti kwani mwenye kauli ya mwisho kukataa au kukubari matokeo ni mgombea mwenyewe.
lowassa ni amelelewa na ccm isichukuliwe rahisi tu kuikana ccm ila kwa sasa lazima ionekane hvyo ili imani iongezeke kwake tusubiri tushuhudie haya ifikapo october! asanteni.

acha ujinga, gori ndio nini?
 
siasa mchezo wa akili sana hauitaji pupa UKAWA ni sawa na samaki alie lushiwa chambo bila kufikilia akakidaka.
tusubiri matokeo.
 
siasa mchezo wa akili sana hauitaji pupa UKAWA ni sawa na samaki alie lushiwa chambo bila kufikilia akakidaka.
tusubiri matokeo.


Kama mumeo hayupo leo sema makamanda waje wamege kisela unaonesha umepagawa sana
 
Chadema inaweza kuongeza Idadi ya Wabunge sio Kupata Dola. MBOWE analijua hilo kwa ufasaha,Dr.Slaa aliamini anaweza kuwa Rais kwa kuwa akina Mbowe walimuaminisha kuwa 2010 alishinda Urais ila 'ziliibiwa '.
 
Sitaki kuamini kwamba tayari UKAWA wamezidiwa kete na CCM, Upinzani hasa katika mgombea urais umekufa kabisa,
watanzania ni lahisi sana kudanganywa nionavyo mwaka huu CCM itakua na wagombea wawili wanaoshindana kuwania kiti kimoja, kivuli cha LOWASSA ndani ya chadema ndio kinachowavuluga watanzania ndio kilicho ficha siri hii kubwa,mwaka huu ni sawa na zile kula za chama kimoja ndio au hapana,
tusitalajie kusikia et mgombea wa UKAWA amegomea matokeo hicho hakipo na mbinu hii ndio itakayotusaidia tupite kwa amani baada ya uchaguzi huu,kwa njia hii CCM watafanikiwa kwa 100% kuzuia wapinzani wasichukue kiti kwani mwenye kauli ya mwisho kukataa au kukubari matokeo ni mgombea mwenyewe.
lowassa ni amelelewa na ccm isichukuliwe rahisi tu kuikana ccm ila kwa sasa lazima ionekane hvyo ili imani iongezeke kwake tusubiri tushuhudie haya ifikapo october! asanteni.

Kati ya watumwa wa nape niwewe tu husiye tumia akili kufikilia cha kuandika na badala yake unatumia masaburi kuweka uharo wako humu jamvini.
 
Sitaki kuamini kwamba tayari UKAWA wamezidiwa kete na CCM, Upinzani hasa katika mgombea urais umekufa kabisa,
watanzania ni lahisi sana kudanganywa nionavyo mwaka huu CCM itakua na wagombea wawili wanaoshindana kuwania kiti kimoja, kivuli cha LOWASSA ndani ya chadema ndio kinachowavuluga watanzania ndio kilicho ficha siri hii kubwa,mwaka huu ni sawa na zile kula za chama kimoja ndio au hapana,
tusitalajie kusikia et mgombea wa UKAWA amegomea matokeo hicho hakipo na mbinu hii ndio itakayotusaidia tupite kwa amani baada ya uchaguzi huu,kwa njia hii CCM watafanikiwa kwa 100% kuzuia wapinzani wasichukue kiti kwani mwenye kauli ya mwisho kukataa au kukubari matokeo ni mgombea mwenyewe.
lowassa ni amelelewa na ccm isichukuliwe rahisi tu kuikana ccm ila kwa sasa lazima ionekane hvyo ili imani iongezeke kwake tusubiri tushuhudie haya ifikapo october! asanteni.
Inaonekana Lowassa amewauma sana eh! Bado mnamuona ni mtu wenu?
 
siasa mchezo wa akili sana hauitaji pupa UKAWA ni sawa na samaki alie lushiwa chambo bila kufikilia akakidaka.
tusubiri matokeo.

Kichwani mwako hakuna kitu ni sawa na gari aina ya noah
 
Sitaki kuamini kwamba tayari UKAWA wamezidiwa kete na CCM, Upinzani hasa katika mgombea urais umekufa kabisa,
watanzania ni lahisi sana kudanganywa nionavyo mwaka huu CCM itakua na wagombea wawili wanaoshindana kuwania kiti kimoja, kivuli cha LOWASSA ndani ya chadema ndio kinachowavuluga watanzania ndio kilicho ficha siri hii kubwa,mwaka huu ni sawa na zile kula za chama kimoja ndio au hapana,
tusitalajie kusikia et mgombea wa UKAWA amegomea matokeo hicho hakipo na mbinu hii ndio itakayotusaidia tupite kwa amani baada ya uchaguzi huu,kwa njia hii CCM watafanikiwa kwa 100% kuzuia wapinzani wasichukue kiti kwani mwenye kauli ya mwisho kukataa au kukubari matokeo ni mgombea mwenyewe.
lowassa ni amelelewa na ccm isichukuliwe rahisi tu kuikana ccm ila kwa sasa lazima ionekane hvyo ili imani iongezeke kwake tusubiri tushuhudie haya ifikapo october! asanteni.

Pumbavu! Rudi shule ukajifunze kiswahili na kuandika!!!
 
Sitaki kuamini kwamba tayari UKAWA wamezidiwa kete na CCM, Upinzani hasa katika mgombea urais umekufa kabisa,
watanzania ni lahisi sana kudanganywa nionavyo mwaka huu CCM itakua na wagombea wawili wanaoshindana kuwania kiti kimoja, kivuli cha LOWASSA ndani ya chadema ndio kinachowavuluga watanzania ndio kilicho ficha siri hii kubwa,mwaka huu ni sawa na zile kula za chama kimoja ndio au hapana,
tusitalajie kusikia et mgombea wa UKAWA amegomea matokeo hicho hakipo na mbinu hii ndio itakayotusaidia tupite kwa amani baada ya uchaguzi huu,kwa njia hii CCM watafanikiwa kwa 100% kuzuia wapinzani wasichukue kiti kwani mwenye kauli ya mwisho kukataa au kukubari matokeo ni mgombea mwenyewe.
lowassa ni amelelewa na ccm isichukuliwe rahisi tu kuikana ccm ila kwa sasa lazima ionekane hvyo ili imani iongezeke kwake tusubiri tushuhudie haya ifikapo october! asanteni.

Viroba vimekuathiri ubongo
 
Ccm wapiga dili na kauli zao , mchakato una endelea,kazi inafanyika kwa ufanisi,landama ya mapato na matumizi,maendeleo kwa kasi. HAMNA KITU YAANI HAWA
 
Hivi Lowassa wakati anakabidhiwa kadi ya Chadema alitoa kadi ya ccm.?
 
Back
Top Bottom