yaani hii nchi haiwezi kuendelea miaka hii JF ni uwanja wa mapenzi na propaganda za CHADEMA NA kUSAHAU kabisa matatizo ya watanzania
Juma kuu hili jamani
Juma kuu la nini? Sio wote waumini bana kha! Ndio kama hivyo jamaa anajisevia kilaini hadi machozi.