benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,069
Hii kitu inanisumbua akili kweli, sijui ni ugonjwa, yaani kama week sasa kila nikipiga goli machozi yananitoka. Kama ya jana ndio ilikua kali kabisa nililia mpaka demu akaogopa akaanza kunibembeleza. Ilianza kwa kupiga kelele, yaani likikaribia najikuta napiga kelele, uuuwiii, yeleuwiiii. sasa nimezuia kupiga kelele naona kilio ndio kimechukua nafasi. Naogopa kuzuia kilio maana sijui nini kitakacho chukua nafasi. ( Sijui itakuaje nahisi labda goli likifika naweza kutoka nduki sijavaa nguo)