prettya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 227
- 192
Ukweli ni kwamba mapato ya awamu hii siyo siri tena kama anavodai bwana LemaZile mbwembwe za TRA za kutangaza mapato zimeishia wapi ?tunajua hali mliyofikia.Kama siasa chafu na sera mbaya za uchumi hazita koma,Tanzania itarajie kuwa na hali mbaya ya kiuchumi kuliko Zimbabwe,tena mapema sana,mliwakamua ng'ombe bila kuwalisha na sasa mnakamua damu.ZIMBABWE
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter
Pia mapato hutangazwa kila baada ya miez mi tatu
Afu awe anatembelea hata tovuti ya TRA kila kitu kipo wazi pale
Sent using Jamii Forums mobile app