Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,201
- 13,428
Hali ni tete mtaani. Vijana wanalia hamna ajira..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akili zako kama za yule kiongozi anayewakataza wanafunzi wa vyuo kutojihusisha na siasa wawapo vyuoni. aliyasema pale SUA bila kujua kuwa kuna watu kina bashiru ally wanafundisha hiyo siasa .. alitaka wakafanyie practicle mazabahuni sijui?Hahaha, lema bana, Sir tunawaza kupamabana na maisha yetu yeye anakesha anawaza TRA tu na serikali
Kwani Lema pia anauliza TRA kwenye mitandao ya kijamii hajui ofisi za TRA zilipo?Lema anamaisha safi hawez kulingana na wew ila anauliza zile mbwembwe za tra zimeishia wap hilo ndo swali kama wew unahusika na tra mjibu lakin kama huusiki funga domo waje tra wenyewe kujibu.
Hahaha, lema bana, Sir tunawaza kupamabana na maisha yetu yeye anakesha anawaza TRA tu na serikali
Zile mbwembwe za TRA za kutangaza mapato zimeishia wapi ?tunajua hali mliyofikia.Kama siasa chafu na sera mbaya za uchumi hazita koma,Tanzania itarajie kuwa na hali mbaya ya kiuchumi kuliko Zimbabwe,tena mapema sana,mliwakamua ng'ombe bila kuwalisha na sasa mnakamua damu.ZIMBABWE
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter
Wakiona maziwa hayatoki wakate ziwa lenyewe tu
Zile mbwembwe za TRA za kutangaza mapato zimeishia wapi ?tunajua hali mliyofikia.Kama siasa chafu na sera mbaya za uchumi hazita koma,Tanzania itarajie kuwa na hali mbaya ya kiuchumi kuliko Zimbabwe,tena mapema sana,mliwakamua ng'ombe bila kuwalisha na sasa mnakamua damu.ZIMBABWE
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter
Wengine tumeona kabla hata ya siri kuvuja!😀Ukiona hivi,ujue kuna siri zimevuja na zinazoonyesha hali si nzuri.
Salary Slip . Lema ataambiwa ameota ndoto yenye nia mbaya .
Mbwembwe kwisha , wanakusanya chini 50%
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani mbona aliyenunua hicho chama katoka nduki kawaachia walomuuzia au kasahau kuwaLema yule waliyepokea hongo na Mbowe kuuza chama kwa maccm 2015?
Pembeni kuna mti na juu ya mti muna chatu
Tuna aim makubwa zaidi, hizi mbwembwe tushaacha, tuko full mode time hii
Lema anamaisha safi hawez kulingana na wew ila anauliza zile mbwembwe za tra zimeishia wap hilo ndo swali kama wew unahusika na tra mjibu lakin kama huusiki funga domo waje tra wenyewe kujibu.
je wewe uko na umri ganiHahaha, lema bana, Sir tunawaza kupamabana na maisha yetu yeye anakesha anawaza TRA tu na serikali