Binti Kuwani
Member
- Mar 9, 2019
- 15
- 18
Lema yule waliyepokea hongo na Mbowe kuuza chama kwa maccm 2015?
pesa yenyewe ikikusanywa inaishia v20 hairuhusiwi kukaguliwa na cag
Watatangaza nini wakati hali ya uchumi mbaya .......muungwana akivuliwa nguo hasimami uchutama
Mzee baba akubali tu kuna mahala amefeli afanye marekebisho
Sent using Jamii Forums mobile app
We are the children'sZile mbwembwe za TRA za kutangaza mapato zimeishia wapi ?tunajua hali mliyofikia.Kama siasa chafu na sera mbaya za uchumi hazita koma,Tanzania itarajie kuwa na hali mbaya ya kiuchumi kuliko Zimbabwe,tena mapema sana,mliwakamua ng'ombe bila kuwalisha na sasa mnakamua damu.ZIMBABWE
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter
Kamuulize lema kama kodi haikusanywi au inakuaanywa, na wao ndo wanaipangia matumiziHakuna maisha yasiyo igusa kodi tumia akili
In God we trust
Hapa tunaongelea zile mbwembwe mlizokuwa mnafanya kila mwezi kututangazia mapato mbona siku hizi kimya?zimeyeyushwa na kitu gani?Kamuulize lema kama kodi haikusanywi au inakuaanywa, na wao ndo wanaipangia matumizi
Mzee baba anawaacha wataalamu wa uchumi ana teua kuzingatia ukanda na undugu.. Alidhani nchi ni sawa na nyumbaWatatangaza nini wakati hali ya uchumi mbaya .......muungwana akivuliwa nguo hasimami uchutama
Mzee baba akubali tu kuna mahala amefeli afanye marekebisho
Sent using Jamii Forums mobile app
We are the children's
Mzee baba anawaacha wataalamu wa uchumi ana teua kuzingatia ukanda na undugu.. Alidhani nchi ni sawa na nyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Pembeni kuna mti na juu ya mti muna chatuTupo kwenye kingo za mto wenye mamba wenye njaa na nyuma yetu tunafukuzwa na simba wenye njaa
In God we trust
Tuna aim makubwa zaidi, hizi mbwembwe tushaacha, tuko full mode time hiiHapa tunaongelea zile mbwembwe mlizokuwa mnafanya kila mwezi kututangazia mapato mbona siku hizi kimya?zimeyeyushwa na kitu gani?
In God we trust
Tuna aim makubwa zaidi, hizi mbwembwe tushaacha, tuko full mode time hii
Pembeni kuna mti na juu ya mti muna chatu
Lema anamaisha safi hawez kulingana na wew ila anauliza zile mbwembwe za tra zimeishia wap hilo ndo swali kama wew unahusika na tra mjibu lakin kama huusiki funga domo waje tra wenyewe kujibu.Hahaha, lema bana, Sir tunawaza kupamabana na maisha yetu yeye anakesha anawaza TRA tu na serikali