Zile mbwembwe za TRA kutangaza mapato na kuvuka lengo zimeishia wapi?

Sigara Kali

JF-Expert Member
May 28, 2017
3,623
8,428
Wasalaam ndugu TRA

Mimi kama mtanzania mlipa kodi nina haki ya kujua mapato na matumizi yanayokusanywa na serikali kupitia TRA

Mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano chini ya ndugu Magufuli nyie TRA mlikua mkitutangazia kwa mbwembwe zote mlivyokusanya mapato kwa mwezi na kuvuka lengo

Ikafikia hatua mkatuaminisha kwamba utawala wa awamu ya 4 ulikua legelege kwa kukusanya kodi ya bilioni 900 kwa mwezi na utawala wa 5 ukakusanya zaidi ya trilioni 1.

Lakini kadri siku zilivyozidi kwenda utaratibu wa kutangaza ukapungua na kwa sasa nahisi umekufa kabisa

Nina miezi kadhaa mingi tu sijaskia wala kuona sio kwenye TV,magazeti au social medias nyingine zile mbwembwe zenu za kutangaza mapato

TRA sasa hivi mmeamua kukusanya kodi kinguvu matokeo yake mmeishia kufunga maduka mengi sana ,msitegemee kama hizo trilioni mtazipata tena.

Utawala huu kila kitu kinafeli na utazidi kufeli kwa sababu ya kiburi cha mtu mmoja,huwezi kutaka watu waishi maisha ya enzi za ujima/ujamaa wakati wapo enzi za soko huria,uzalendo sio kuturudisha nyuma kimaendeleo Bali kutusongesha mbele kimaendeleo
 
Sasa hivi kinachokusanywa na TRA ni kidogo mno ndiyo maana hawatangazi. Fedha inakusanywa kwenye faini za mawaziri kwa wenye viwanda, faini za makosa ya barabarani, na sasa mradi mpya wa kukusanya mapato kwa kukagua magari yote nchini na kuyabandika stika kwa sh 3000
 
Hizi thread za kuomba msomewe mapato hala wakisoma mnakimbia haziishagi?
 
Wakati tunatafakari hayo majibu tutafakari na haya

1. Zile Trilion kadhaa za ACACIA zipo wapi?
2. Ndege alizosema zingefika mwaka jana mwezi wa 6 zipo wapi?
Ilikuwa mbwembwe tu. Waliokuwa wakitokwa povu la sifa hata kingereza tu hawajui. Hivyo walicho watangazia watanzani siyo kile walichosema wazungu.
 
Wakati tunatafakari hayo majibu tutafakari na haya

1. Zile Trilion kadhaa za ACACIA zipo wapi?
2. Ndege alizosema zingefika mwaka jana mwezi wa 6 zipo wapi?
teheee ....hiyo inaitwa ukiwa muongo unatakiwa usiwe mwepesi wa kusahau ...
aisee inapendeza mnoo kuona vijana wa taifa hili mkiwa ni wepesi wakuhifadhi kumbukumbu zilizotolewaga na serikali maana mnachangia kutukumbusha na sisi ambao tulikuwa tumeshasahau..then inaleta wepesi wakuweza kuhoji pindi mambo yanavyo. kwenda mrama kama hvi
 
TRA wapo vizuri wanapanua wigo kodi na elimu kwa kasi kubwa sana,natumai mbeleni hata viwango kodi vitashuka.
 
Wasalaam ndugu TRA

Mimi kama mtanzania mlipa kodi nina haki ya kujua mapato na matumizi yanayokusanywa na serikali kupitia TRA

Mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano chini ya ndugu Magufuli nyie TRA mlikua mkitutangazia kwa mbwembwe zote mlivyokusanya mapato kwa mwezi na kuvuka lengo

Ikafikia hatua mkatuaminisha kwamba utawala wa awamu ya 4 ulikua legelege kwa kukusanya kodi ya bilioni 900 kwa mwezi na utawala wa 5 ukakusanya zaidi ya trilioni 1.

Lakini kadri siku zilivyozidi kwenda utaratibu wa kutangaza ukapungua na kwa sasa nahisi umekufa kabisa

Nina miezi kadhaa mingi tu sijaskia wala kuona sio kwenye TV,magazeti au social medias nyingine zile mbwembwe zenu za kutangaza mapato

TRA sasa hivi mmeamua kukusanya kodi kinguvu matokeo yake mmeishia kufunga maduka mengi sana ,msitegemee kama hizo trilioni mtazipata tena.

Utawala huu kila kitu kinafeli na utazidi kufeli kwa sababu ya kiburi cha mtu mmoja,huwezi kutaka watu waishi maisha ya enzi za ujima/ujamaa wakati wapo enzi za soko huria,uzalendo sio kuturudisha nyuma kimaendeleo Bali kutusongesha mbele kimaendeleo
Bado wanakusanya mkuu watatutangazia tuu
 
Hali mbali mbaya kila kitu ovyo watu wanaishi kama mashetani kodi itatoka wapi .


Wewe ndio unaishi kama shetani, watu wenye shughuli zao za halali mambo yameongezeka. wafanyabiashara wanafanya biashara zao na wanalipa kodi, wafanyakazi wanafanya kazi na wanapata mishahara yao, wakulima wanauza mazao yao na wanapata pesa, sasa wewe sijui upo kundi gani kati ya hayo niliyoyataja, au wewe ni mtu wa mikeka!
 
Serikali zetu za ajabu...Inatakiwa wangeendelea kuchochea ule uchumi tuliokuwa nao in better way..harafu wakiwema mifumo bora ya kukusanya kodi bila vitisho.. Hali hiyo ingefanya sasahivi serikali kukutanya angalu tiriilon 2 kwa mwezi kutokana na mapato ya kodi tu.Ukiweka yale yasiyo ya kikodi seriklai ingeweza kukusanya tirrilion 2.5 kwa mwezi.. Kwa kuwa serikali na TRA hawasikii ushauri basi wanaishia kukusanya tirrilon 1.1 kwa mwezi ikiwemo kodi na non tax. Maana yake wanapoteza tirrioni 1.4 kwa mwezi kwa sababu ya kutumia nguvu, mabavu badala ya kuhamaisha sector isyorasmi kukuwa na kupata pesa nyingi zaidi.





From 1.2 trillion

To 650 billion

Twafaaa

June 2018 itakuwa 500 bilion
 
Wasalaam ndugu TRA

Mimi kama mtanzania mlipa kodi nina haki ya kujua mapato na matumizi yanayokusanywa na serikali kupitia TRA

Mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano chini ya ndugu Magufuli nyie TRA mlikua mkitutangazia kwa mbwembwe zote mlivyokusanya mapato kwa mwezi na kuvuka lengo

Ikafikia hatua mkatuaminisha kwamba utawala wa awamu ya 4 ulikua legelege kwa kukusanya kodi ya bilioni 900 kwa mwezi na utawala wa 5 ukakusanya zaidi ya trilioni 1.

Lakini kadri siku zilivyozidi kwenda utaratibu wa kutangaza ukapungua na kwa sasa nahisi umekufa kabisa

Nina miezi kadhaa mingi tu sijaskia wala kuona sio kwenye TV,magazeti au social medias nyingine zile mbwembwe zenu za kutangaza mapato

TRA sasa hivi mmeamua kukusanya kodi kinguvu matokeo yake mmeishia kufunga maduka mengi sana ,msitegemee kama hizo trilioni mtazipata tena.

Utawala huu kila kitu kinafeli na utazidi kufeli kwa sababu ya kiburi cha mtu mmoja,huwezi kutaka watu waishi maisha ya enzi za ujima/ujamaa wakati wapo enzi za soko huria,uzalendo sio kuturudisha nyuma kimaendeleo Bali kutusongesha mbele kimaendeleo
Siku hizi zinatangazwa kila baada ya miezi mitatu. Yaani kwa mwaka zinatolewa mara nne tu.
 
Back
Top Bottom