Duh, na kuku wasipotaga mayai wawachinje? Kuwakimbiza na kuwanyanyasa Manji, Africafe na MO ni sawa na kukata ziwa lenyewe. Kifuatacho Tz............ Kilangila.Wakiona maziwa hayatoki wakate ziwa lenyewe tu
In God we trust
Duh, na kuku wasipotaga mayai wawachinje? Kuwakimbiza na kuwanyanyasa Manji, Africafe na MO ni sawa na kukata ziwa lenyewe. Kifuatacho Tz............ Kilangila.Wakiona maziwa hayatoki wakate ziwa lenyewe tu
In God we trust
Tumekuelewa, sasa leta majibu.Lema yule waliyepokea hongo na Mbowe kuuza chama kwa maccm 2015?
wia in ze raiti traki bhanaZile mbwembwe za TRA za kutangaza mapato zimeishia wapi ?tunajua hali mliyofikia.Kama siasa chafu na sera mbaya za uchumi hazita koma,Tanzania itarajie kuwa na hali mbaya ya kiuchumi kuliko Zimbabwe,tena mapema sana,mliwakamua ng'ombe bila kuwalisha na sasa mnakamua damu.ZIMBABWE
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter
unataka kauli ya TL ya kuwa "tuna rais wa ajabu sana"itimilike?Watatangaza nini wakati hali ya uchumi mbaya .......muungwana akivuliwa nguo hasimami uchutama
Mzee baba akubali tu kuna mahala amefeli afanye marekebisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, lema bana, Sir tunawaza kupamabana na maisha yetu yeye anakesha anawaza TRA tu na serikali
Ajira za walimu zimemwagwaaaHali ni tete mtaani. Vijana wanalia hamna ajira..