DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,598
- 17,734
Aliyekuwa Mbunge Wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema Amemtoa kauli hiyo kwa Katibu mkuu wa itikadi na Uenezi CCM taifa Mh Paulo Makonda huko Jamhuri ya watu wa X..
Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..
Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC
Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"
Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..
Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC
Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"