Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

kumbe lema aliupotosha uongozi wa chama mkoa na taifa kuwa madiwani wa arusha walishawishiwa kwa rushwa katika kufikia muafaka na maridhiano ya amani arusha??? kumbe suala halikuwa kubwa kama lilivyokwa limekuzwa na lema hata kufikia kufukuzwa kwa madiwani watano 5??????
 
Ukifuatilia mjadala huu utagundua vijana wengi wanaoishabikia chadema sio wapinga ufisadi ila wanataka wapate nafasi ya kufisadi. Hakuna kijana hata mmoja wa chadema anayeona kuwa kilichofanywa na Lema ni tatizo!!!
Kwa namna hii mwananchi wa kawaida asitegemee maendeleo toka kwa wanasiasa.

poa sana
 
Heshima kwenu wakuu,

Najua mnajua msimamo wangu linapokuja swala la kamanda Lema.

Niliwahi kusema CDM Arusha hakuna mwenyekiti wa wilaya hakuna katibu wa wilaya,hakuna mwenyekiti wa mkoa hakuna katibu wa mkoa.Vikao vya chama ngazi ya wilaya na mkoa wa Arusha hakuna.Matamko ya chama na kazi za chama mkoa na wilaya ya Arusha zimetekwa na Lema na kundi lake la wahuni.Ukitaka kugombea udiwani hakuna haja ya kufuata taratibu na kanuni za chama unachotakiwa kukifanya ni kumwona Lema atamaliza kila kitu na hichi ndicho kilichotokea Daraja II.


waeleze wanaotaka tuamini kwamba Lema hana dhambi hata moja
 
Umenena Mkuu mapenzi ni upofu wapo wasiopenda kukosolewa

wewe acha unafiki wa kipepo, toka lini wewe mwana maCCM ukawa na uchungu na CHADEMA? Kwanza wewe sio mkazi wa Arusha kazi kupiga soga za kizandiki humu,

Unafikiri tumekusahau ule uchochezi wako kwenye thread ya Mdee na Josephine kawe? Kila siku kukosoa mbowe, Dr.Slaa mbona CCM huikosoi kama kweli we ni CHADEMA? Gamba mkjubwa wewe tumekujua.
 
Lema ni Mwiba kwa Mamluki na CCM.Mlitegemea wangekaa kimya muda huu?Lengo ni kurusha tuhuma tu katika namna ya kujinusuru.uongo mtupu.Mlikua wapi siku zote?Hamtaweza kututoa kwenye ajenda yenu ya usaliti.hizi zinajibiwa au kupuuzwa na kisha tunaendelea na ajenda yenu ya vibaraka.nothing more,nothing Less....
 
waeleze wanaotaka tuamini kwamba Lema hana dhambi hata moja
Siku nitakapoona unachangia walau kitu kimoja kizuri kuhusu Chadema, ntaanza kukusikiliza.

Hakuna aliye mbaya 100% na hakuna aliye mzuri 100% bali wewe kwako chadama ni wabaya 100%.
 
Heshima kwenu wakuu,

Najua mnajua msimamo wangu linapokuja swala la kamanda Lema.

Niliwahi kusema CDM Arusha hakuna mwenyekiti wa wilaya hakuna katibu wa wilaya,hakuna mwenyekiti wa mkoa hakuna katibu wa mkoa.Vikao vya chama ngazi ya wilaya na mkoa wa Arusha hakuna.Matamko ya chama na kazi za chama mkoa na wilaya ya Arusha zimetekwa na Lema na kundi lake la wahuni.Ukitaka kugombea udiwani hakuna haja ya kufuata taratibu na kanuni za chama unachotakiwa kukifanya ni kumwona Lema atamaliza kila kitu na hichi ndicho kilichotokea Daraja II.


Hapa nakuunga mkono,kuna mantiki kwenye hili.lazima ijengwe taasisi na si mtu.Lazima tukisikie chama huko Arusha na si Lema asubuhi,mchana na usiku.
 
Lema ni Mwiba kwa Mamluki na CCM.Mlitegemea wangekaa kimya muda huu?Lengo ni kurusha tuhuma tu katika namna ya kujinusuru.uongo mtupu.Mlikua wapi siku zote?Hamtaweza kututoa kwenye ajenda yenu ya usaliti.hizi zinajibiwa au kupuuzwa na kisha tunaendelea na ajenda yenu ya vibaraka.nothing more,nothing Less....
Wewe acha kujikomba huyo Lema kila mtu anajua ni muhini tu tena nasikia anatafutwa na polisi UK kwa kesi ya kubaka
Souce Gazeti la changamoto na polisi uk
kama unabisha uliza mbongo yoyote UK utapata jibu
 
Kama huu ndio upeo wetu hapa JF, mimi nadhani hili jina kwamba Jamiiforums ni "home of great thinkers" imefika wakati tulifikirie upya.
We kijana acha ushamba. Tetea nchi yako we unamfananisha Lema na Mafisadi wako wanaoibia mchana kweupe?. Pia JF ni sehemu iliyo wazi kuongea wazo lako unaloona linafaa. Usitake kuleta mambo ya kujifanya wewe ndio mkongwe.
 
Lema ni Mwiba kwa Mamluki na CCM.Mlitegemea wangekaa kimya muda huu?Lengo ni kurusha tuhuma tu katika namna ya kujinusuru.uongo mtupu.Mlikua wapi siku zote?Hamtaweza kututoa kwenye ajenda yenu ya usaliti.hizi zinajibiwa au kupuuzwa na kisha tunaendelea na ajenda yenu ya vibaraka.nothing more,nothing Less....

Hakyanani.
Acha nicheke miye.
Hawa masalia watakuja kwa kila rangi na mbinu, lakini wamekosea TIMING sana, maana kauli ya masalia ya sentensi moja tu inatosha kumtambulisha A to Z.
 
Bila kamanda godbless lema tusingetwaa jimbo la arusha mjini..!

Saa nyingine chama kinasaidia lakini bila juhudi za mtu binafsi, chama hakiwezi kupata ushindi mnono..!
Mfano mzuri mbozi magharibi na kibaha mjini,chadema kilikuwa na nguvu kubwa ya kushinda lakini
kutokana na viongozi wadhaifu mtela mwampamba na habib mchange chama kikashindwa kunyakua hayo majimbo sasa wanatumikia ccm kuivuruga chadema kwa kumwaga matutsi hapa jamvini na kugombanisha viongozi wa juu wa chama..!

Nikija suala la arusha, niulize mama porojo umelipwa shs.ngapi kumchafua lema, kumbuka godbless lema ana nguvu ya umma na ana nguvu ya mungu ipo nyuma yake, hata ccm walimtaka kumchukua kwaajili ya uchaguzi ubunge 2010,

godbless lema hagombani na wenye uchungu na hii nchi,wapenda haki,wapambanaji wa ufisadi bali anagombana na wala rushwa,mafisadi,wezi,wazinifu,na wasiopenda haki na kudhulumu watu maskini..! Mfano mzuri ni ww mama porojo

godbless nusura afe kwaajili yha kugombania kiti cha umeya, baada ya polisi kutumia nguvu na kumpiga inanikumbusha hayati patric lumumba alivyouwawa na wabelgiji akipambania haki

godbless najua ameahidi mengi,lakini ubunge wake uliingiliwa na ccm, kuhusu ambulance,trekta,pesa za nmc is non of ur business, lema baba tutachangia paka mifuko itoboke, kwani matunda tunayaona.,hatuchangii bure

naona ccm mmekuja na mbinu mpya ya kuidhoofisha cdm, kwa kutumia vibaraka ndani ya chadema

ujumbe kwako kwa mama porojo,

godbless lema ni nguvu ya umma, maneno yako ya nguoni hayawezi kumteteresha ama kumpungizi ari,andika utakavyo barua, lakini lema atakujibu kwa maendeleo 2015,


mlianza na dk.slaa, sasa lema,baadaye mbowe, kisha sugu, n.n.
 
Lema ni Mwiba kwa Mamluki na CCM.Mlitegemea wangekaa kimya muda huu?Lengo ni kurusha tuhuma tu katika namna ya kujinusuru.uongo mtupu.Mlikua wapi siku zote?Hamtaweza kututoa kwenye ajenda yenu ya usaliti.hizi zinajibiwa au kupuuzwa na kisha tunaendelea na ajenda yenu ya vibaraka.nothing more,nothing Less....
kwa sasa adui wakuu wa CDM ni wawili, Masalia pamoja na CCM.. Nategemea kusikia mengi, ila mwisho wa siku ukweli utajulikana. Namwomba Mungu ukweli usichelewe....
 
Hapa nakuunga mkono,kuna mantiki kwenye hili.lazima ijengwe taasisi na si mtu.Lazima tukisikie chama huko Arusha na si Lema asubuhi,mchana na usiku.

Usichotwe kirahisi na chuki za mtu mmoja kwa mwingine akitaka nawe umchukie bila hata wewe kujua source ya chuki yake kama ni personal au lah.

Huwezi kuniambia kuwa Lema Arusha ni maarufu kuliko CDM nikakuelewa, ni majuzi tu Lema akiwa amevuliwa ubunge wana Arusha wenyewe walikuwa wakitamka kuwa Hata likiwekwa jiwe Lenye nembo ya CDM na mgombea yeyote wa CCM watalichagua Jiwe....
Je hili halitoshi kutoa uwiano wa umaarufu wa CDM na Lema Arusha??
 
Kashfa zilizoainishwa kwenye huu waraka baadhi ni hizi hapa;

1. Lema aliomba kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wananchi na akapewa huko BURKA lakini kiwanja hicho lema AMEKISAJILI kwa JINA LAKE.

2.Lema akiwa mbunge alipewa trekta na wafadhili wa chadema kwa ajili ya wajane na yatima na akalitembeza kila mahali arusha na kuwatangazia walengwa kuhusu ukombozi wao, lakini hivi sasa trekta hilo lema analitumia kwa shughuli zake binafsi na kukodisha.

3.Lema anayo madeni mengi ya aibu anayodaiwa kwa kukopoa vitu mbalimbali vya watu lakini anapotakiwa kurudisha anakuwa mkali na kuwatishia wadeni wake na kuwajibu majibu mabaya.

4.Lema anakusanya michango na fedha nyingi kwa matajiri wa Arusha kwa madai kuwa yeye ni mwenyekiti wa M4C TAIFA lakini fedha hizo hazijulikani matumizi yake.tunaomba namba za simu zinazotumika kupokea hizo fedha zichunguzwe.

5.Lema amekula fedha za rambi rambi zilizochangwa kwa ajili ya wahanga wa mauaji yaliyotokea ARUSHA TRH 05/01/2011

6.Lema anawapinga makamanda WASOMI ndani ya chadema akidai wao ni usalama wa taifa.

7.
8...
 
Back
Top Bottom