Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Mwenyekiti na katibu wa cdm mkoa wako humu ndani ya jf, wajitokeze wajibu tuhuma hizi.Kama kungekuwa na mgogoro mwenyekiti na katibu wangetuambia.Acha uchochezi.Jina lako linadhihirisha ulichoandika kuwa ni porojo
 
Mmemuandama dr slaa sana tu atikisiki,Mmeanza kumchimba Lema.NIKIWA KAMA Katibu mwenezi wa chadema ktk mojawapo ya kata hapa arusha Mjini napingana nawe.HALI YA CHADEMA ARUSHA NI SHWARI na hapa tulivyo ni vigumu mno hata kuona bendera ya magamba kwa mabalozi ambao nadhani HAWAPO siku hizi ktk jimbo hili.hizi ni siasa za sewage za mama porojo na akina mama chatanda.

Kama kuna hoja kama hizo kwanini zisijibiwe ? Nimeona tatizo kibwa ndani ya chadema hamkubali hata siku moja kuelezwa mapungufu,je hicho chama kimekuwa cha malaika watupu ? Ebu mara nyingine mkipata vitu kama hivyo chunguzeni kuna vitu ambavyo kamwe uwezi kuvificha ukienda arusha pale mfano utaonyeshwa kwamba haya ndiyo matunda ya mhe godii kupitia m4c
 
Sijaelewe mantiki hapa,zaidi ya kuibua migogoro isiyokuwa na maana kwa maslahi ya CHADEMA na taifa la baadaye
 
Lema ana wajibu wa kujibu hizi tuhuma ni nzito na zinamchafua kupindukia

baada ya kushindwa kukiunda chama chenu cha PM7 ndani ya chadema sasa mnakuja na ngonjera za kipumbavu afu mnataka mbunge aje kuzijibu!
nina hamu ya kuwatukana nyie masalia ingekuwa siyo ban............ Lema hana muda wa kujibu hoja za kishenzi, ana kazi nyingi za kuwatumikia wananchi na chama pelekeni upuuzi wenu na nyaraka zenu feki huko!
sijawahi kuwasikia viongozi kama hawa Arusha.
 
chadema kwanini haipendi kukosolewa??
Hii inaleta ukakasi etii,,

Ikosoeni chadema katika misingi ya kweli na haki sii kwa mambo ya kizushi na ya kibabaishaji kama haya.. Hii njia ya propaganda mliyokuja nayo si mpya tafuteni nyingine.
 
Mkuu Munyangaa utashanga hautojiwa sana sana utaambulia matusi na kupachikwa majina ya ajabu ajabu mara msalia mara msaliti hapa bado hawajachukua nchi hawataki kujibu hoja bali viroja ha ha ha ha.

[1] Tunataka kujua kwanini kiwanja cha Hospitali kimeandikwa jina lake na mke wake ?

[2] Tunataka kujua michango ya M4C anayokusanya inafanyiwa audit mara kwa mara ,Tayari kuna fedha zimeshatafunwa ingawa zipo juhudi kubwa za kuficha huu wizi kwania ya kutowakatisha tamaa wachangiaji

[3] Tunakataa uhuni wa Lema kutumia jina la wajane kwaajili ya kujipatia trecta kwa faida zake.

[4] Tunataka wasomi wajitokeze kugombea nafasi katika ngazi mbali mbali badala ya kuwapiga vita kwa hoja hafifu kwamba ni wanausalama wa taifa.

[5] Tunataka michango kwaajili ya waanga wa mauaji ya Arusha ziwafikie walengwa bila kupungua hata ndururu.

Naomba kuwasilisha.
Mkuu Ngongo, anatuhuma ya kutoweka na pesa za harambee M4C Dar esa salaam.Huyu Lema anatabia ya udokozi.
 
My Take: Chadema isipokuwa makini umaarufu wake utapungua kutokana na migogoro mingi inayokikumba chama hicho. Mwaka 2015 si mbali jahazi linaonekana kuyumba ukilinganisha na huko nyuma. Wengi wataumia ndani ya chama hicho kwani umaarufu wa mtu unakuwa juu ya chama. Hizi tuhuma dhidi ya Lema hazikijengi chama bali zinakibomoa. Arusha hali si shwari.

attachment.php

attachment.php


Zaidi, angalia attachments chini

we sijui mshamba wa wapi? Hujui hata kutengeneza tuguma za uongo, kawatafute Nape na Mwigulu wakusaidie. Hizo barua zimetoka ofisi gani iliyoajiri hao washamba. Mtajihangaisha sana masalia!
 
Mama porojo kama jina lako kaoshe mzigo waukanyage wenyewe wakija. kama hawapo mpe mbwa wa jirani ashambulie bure.
 
baada ya kushindwa kukiunda chama chenu cha PM7 ndani ya chadema sasa mnakuja na ngonjera za kipumbavu afu mnataka mbunge aje kuzijibu!
nina hamu ya kuwatukana nyie masalia ingekuwa siyo ban............ Lema hana muda wa kujibu hoja za kishenzi, ana kazi nyingi za kuwatumikia wananchi na chama pelekeni upuuzi wenu na nyaraka zenu feki huko!
sijawahi kuwasikia viongozi kama hawa Arusha.
Acha kutetea ujinga wewe kiongozi wako anatabia ya ukwapu kwapu.Hata Zombe alishawahi kuzungumza watu wakampuuza.
 
Nimezisoma hizo nyarakafeki, sijaona ukashfa wala chembe ya kuiua chadema!

Mods: kumekuwa na taswira flani ya uachaji wa mijadala ya kizushi inayotupotezea mda na kushusha hadhi ya jukwaa hili!

Uzushi kama huu haina haja ya kuuacha watu waendelee kuangalia!


Ha ha haaaaaaaaa! Ha ha haaaaaaa! Yericko bana! mbavu zangu. Kwi kwi kwi kwiwwwwwwwwwwww! watu peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz..............
 
haya ni malalamiko je taarifa ya uchunguzi wa tume ya chama iko wapi? imwage hapa pia tuone na kupima tuhuma ipi kati ya hizi ilikubalika kuwa ni ya kweli. si kila neno baya linalosemwa juu ya mtu ni la kweli ndiyo maana upande unaolalamikiwa hupewa nafasi ya kujieleza
 
Mkuu hili nilisema sana kipindi kileeeee unajua tena wanazi wa CDM walivyo na mahaba na chama chao viongozi wao hawakosei,hawatakiwi kukosolewa wana sifa za malaika.

Mtu anapitishwa kugombea Ubunge bila kufaynika kura za maoni!!! Kweli wenzetu demokrasia mnaielewa tofauti sana...
 
haya ni malalamiko je taarifa ya uchunguzi wa tume ya chama iko wapi? imwage hapa pia tuone na kupima tuhuma ipi kati ya hizi ilikubalika kuwa ni ya kweli. si kila neno baya linalosemwa juu ya mtu ni la kweli ndiyo maana upande unaolalamikiwa hupewa nafasi ya kujieleza

Mkuu, unafikiri kamati kuu ya chadema inaweza kuunda tume kuchunguza haya? Haya yameshatupwa kapuni. Kuna watu chadema wako above the law.
 
Vipi umeishiwa cha kuandika?
Hahahaha....
Mmeplant Masalia
Mmekuja na porojo za kadi ya Slaa
Mmeplant wakorofi Karatu
Mmekuja na stori za Urais Miaka 18
Saivi mnakuja na ufisadi wa Lema.
Vyote vinatokea nyakati hizo hizo!
What a coincidnce??!!
 
Acha kutetea ujinga wewe kiongozi wako anatabia ya ukwapu kwapu.Hata Zombe alishawahi kuzungumza watu wakampuuza.

Mjini sasa ishakuwa ni style mpya sasa watu kutafuta mabwana eti eeh,vipi nawewe ushakwapuliwa na lema??
matusi yako si sumuuu,
 
Mkuu Ngongo, anatuhuma ya kutoweka na pesa za harambee M4C Dar esa salaam.Huyu Lema anatabia ya udokozi.

harambee za chadema ndo mwajua kuifutilia? Kinachowauma nn km sio unafiki na ushambenga rasilimali za nchi zinavuja kila kona hamsemi, kuchafua LEMA mfefulia labda mgeukie SHIBUDA atachafuka kirahisi. Masalia kajipangani na unafki mwingine
 
Back
Top Bottom