Mmemuandama dr slaa sana tu atikisiki,Mmeanza kumchimba Lema.NIKIWA KAMA Katibu mwenezi wa chadema ktk mojawapo ya kata hapa arusha Mjini napingana nawe.HALI YA CHADEMA ARUSHA NI SHWARI na hapa tulivyo ni vigumu mno hata kuona bendera ya magamba kwa mabalozi ambao nadhani HAWAPO siku hizi ktk jimbo hili.hizi ni siasa za sewage za mama porojo na akina mama chatanda.
Vipi umeishiwa cha kuandika?What a coincidence!
Lema ana wajibu wa kujibu hizi tuhuma ni nzito na zinamchafua kupindukia
chadema kwanini haipendi kukosolewa??
Hii inaleta ukakasi etii,,
Mkuu Ngongo, anatuhuma ya kutoweka na pesa za harambee M4C Dar esa salaam.Huyu Lema anatabia ya udokozi.Mkuu Munyangaa utashanga hautojiwa sana sana utaambulia matusi na kupachikwa majina ya ajabu ajabu mara msalia mara msaliti hapa bado hawajachukua nchi hawataki kujibu hoja bali viroja ha ha ha ha.
[1] Tunataka kujua kwanini kiwanja cha Hospitali kimeandikwa jina lake na mke wake ?
[2] Tunataka kujua michango ya M4C anayokusanya inafanyiwa audit mara kwa mara ,Tayari kuna fedha zimeshatafunwa ingawa zipo juhudi kubwa za kuficha huu wizi kwania ya kutowakatisha tamaa wachangiaji
[3] Tunakataa uhuni wa Lema kutumia jina la wajane kwaajili ya kujipatia trecta kwa faida zake.
[4] Tunataka wasomi wajitokeze kugombea nafasi katika ngazi mbali mbali badala ya kuwapiga vita kwa hoja hafifu kwamba ni wanausalama wa taifa.
[5] Tunataka michango kwaajili ya waanga wa mauaji ya Arusha ziwafikie walengwa bila kupungua hata ndururu.
Naomba kuwasilisha.
My Take: Chadema isipokuwa makini umaarufu wake utapungua kutokana na migogoro mingi inayokikumba chama hicho. Mwaka 2015 si mbali jahazi linaonekana kuyumba ukilinganisha na huko nyuma. Wengi wataumia ndani ya chama hicho kwani umaarufu wa mtu unakuwa juu ya chama. Hizi tuhuma dhidi ya Lema hazikijengi chama bali zinakibomoa. Arusha hali si shwari.
![]()
![]()
Zaidi, angalia attachments chini
Acha kutetea ujinga wewe kiongozi wako anatabia ya ukwapu kwapu.Hata Zombe alishawahi kuzungumza watu wakampuuza.baada ya kushindwa kukiunda chama chenu cha PM7 ndani ya chadema sasa mnakuja na ngonjera za kipumbavu afu mnataka mbunge aje kuzijibu!
nina hamu ya kuwatukana nyie masalia ingekuwa siyo ban............ Lema hana muda wa kujibu hoja za kishenzi, ana kazi nyingi za kuwatumikia wananchi na chama pelekeni upuuzi wenu na nyaraka zenu feki huko!
sijawahi kuwasikia viongozi kama hawa Arusha.
Nimezisoma hizo nyarakafeki, sijaona ukashfa wala chembe ya kuiua chadema!
Mods: kumekuwa na taswira flani ya uachaji wa mijadala ya kizushi inayotupotezea mda na kushusha hadhi ya jukwaa hili!
Uzushi kama huu haina haja ya kuuacha watu waendelee kuangalia!
Mtu anapitishwa kugombea Ubunge bila kufaynika kura za maoni!!! Kweli wenzetu demokrasia mnaielewa tofauti sana...
Aliekupa hizo nyaraka abarikiwe.nimepewa na mdau kutoka chadema makao makuu ilishafika kwa Dk. wa kweli
haya ni malalamiko je taarifa ya uchunguzi wa tume ya chama iko wapi? imwage hapa pia tuone na kupima tuhuma ipi kati ya hizi ilikubalika kuwa ni ya kweli. si kila neno baya linalosemwa juu ya mtu ni la kweli ndiyo maana upande unaolalamikiwa hupewa nafasi ya kujieleza
Hahahaha....Vipi umeishiwa cha kuandika?
Acha kutetea ujinga wewe kiongozi wako anatabia ya ukwapu kwapu.Hata Zombe alishawahi kuzungumza watu wakampuuza.
Aliekupa hizo nyaraka abarikiwe.
Mkuu Ngongo, anatuhuma ya kutoweka na pesa za harambee M4C Dar esa salaam.Huyu Lema anatabia ya udokozi.