Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 293
kWANZA HUYO ALIYE POST HII COMMENT KUHUSU LEMA NI KIBARAKA WA CCM! LEMA NI JEMBE CCM HATA MFANYEJE ARUSHA HAMA CHENU: LEMA NI MWIBA TENA MWIBA WENYE SUMU KALI KWA CCM CHAMA CHA MAGAMBA
kwa hiyo ww unaona hizo tuhuma ni majungu dhidi yake? tofauti ni nini? na tuhuma zingine zinazotolewa kwa wanasiasa wengine za KIFISADI. au njia ndo ileile waipitayo CCM.Viwanja vya Burka vitolewa yeye sio mbunge, asingeweza kuomba kwa waarusha wapi?
sahihi ya lema iko wapi hapo?
Mkuu unabishana na tejka alieisha piga viroba, unapoteza muda wakoImany John hivi wewe una akili kweli? Au ndiyo tuseme ubongo wako upo kama wa mbuni anapoona hatari anaficha kichwa kwenye shimo lakini mwili wote upo nje? Lema atasaini wapi hapo wakati yeye ndiye anayetuhumiwa? Au ulitaka na yeye atie sahihi kwenye hizo tuhuma zinazomhusu?
Onyesha hata kidogo kuwa unafikiria kijana acha kuropoka ili uonekane na wewe hapa kuwa umetuma post. This is truely a brand new brain au tuseme its an empty hard drive
taasisi yenu imeshasambaratika hakuna document zozote!
poor Mtela Mwampamba,
poor Juliana Shonza
poor Zitto
poor TUNTEMEKE
hawa wachumia tumbo hamjaacha tu, arusha tunaijua sisi wala Dk hana sababu ya kuja kushughulikia mipasuko kimsingi njaa zenu zitawaua, milijpanga kugombea ubunge baada ya lema kuondolewa na mahakama sasa mmeshindwa mnakuja na hoja za viwanja. sahauni jimbo la arusha mjini, nyie nendeni kwa magamba, mkapate kula machumia tumbo makubwa, au endeleeni kufanya ziara kenya mkijifanya mnaenda kikazi kumbe kujikomba kwa balozi Mh batilda. jianadeni kumlipa lema nyie mamluki, usiku chadema mchana magamba
Yaani Chama makini Kikosorewe kwa madocument ya kupika? Kwa taarifa yako uongozi wa CDM unaelewa kinachoendelea katika taifa letu: CCM katika harakati za kurudisha jimbo mikononi mwake. Too late!Vijana tuwe wise mama porojo amebandika barua na anaomba uchunguzi ufanyike na uongozi wa chadema kwa manufaa ya watu wa arusha na kujenga uongozi bora ndani ya chama cha chadema.kwanini tunadakia kuanza kupinga haraka.kama mtu ameleta tuhuma basi zichunguzwe kiundani ili ukweli uwe wazi.Ni lazima tukubari chama cha chadema kikosorewe ili kuwa jenga viongozi wetu na kuonesha kama wananchi tumeamka.sasa kama we utakuwa unasema kila tuhuma anazoleta mtu unaanza kusema ametumwa na CCM basi tutashindwa kujua mengi sana na wajibu wetu kama tunakipenda chama cha chadema tukijenge kwa kukikosoa pale inapohitajika ili kiwe chama bora.
Ni kweli ila hiyo haki iwe ni ya ukweli kuliko uongo. Hiyo jamii itakapogundua kuwa uliwadanganya hata kama ilikuwa haki yao watakuchukia milele. Lakini ukiwaambia ukweli watakuamini hasa suala lenyewe linapokuwa halina madhara ya moja kwa moja kwao.
Political propaganda! Please ignore!
huu ndo ubaya wa cdm ukiwapa ukweli wanakejeli kibao den mods wanachekelea tu