Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Barua ya uongo hii!! Mmeitengeneza!! Tumieni kila mbinu kabisa!!Rufaa mmeshindwa sasa mmeibua barua ya kughushi kama ile kadi ya SSM ya uongo ya Katibu. Mama Porojo kweli wewe ni kiboko!! Hongereni sana!! Na mara baada ya kuiweka hapa tu wale pro SSM mmepeana taarifa mje mshushe kiu hapa!! Nawaona sana rafiki wa SSM hapo!! Itakula kwenu!! CDM inawapa kifafa cha mimba.
 
Taburalasas normally talk about People 's affairs but great thinkerz talk abou issues. ONLY A FOOLISH DOG BARKS AT THE FLYING BIRDS.
 
Tatizo la hizi document zinaonekana ni za kupika coz katika maalezo yake mwandishi amerudia neno"AKIWA MBUNGE"hapo ndipo inaacha walakini katika kuzipa uhalali doc hizo,coz mwandishi amelirudia neno hilo zaidi ya mala5, hii inamana documents hizo ziliandikwa kwa nia yoyote ile b4 Lema hajashinda Rufani yake,Ben alishasema upelelezi unaonesha issue ya madiwani wa Arus
  • A%20S%20angry.gif

ha ilikuwa na mkono wa mh ZZ Kabwe,.
 
huu ndiyo ujinga wa CCM tuhuma mlete nyie halafu ushahi tulete chadema...

Hivi wewe Crashwise unapotoka povu jingi hivyo na kuwaita ama kuhalakisha watu wote wanaopinga ujinga huu wa kuabudu watu mmoja mmoja ndani ya chama kuwa ni ccm, wewe tunaamini vipi kuwa ni CDM? Au unataka kutumia ujinga huu wa kitetea maovu ndani ya CDM kuhalalisha uCDM wako? Vipi tukisema wewe ndiyo CCM namba moja unatetea maovu haya ili kuiua CDM utabisha?
 
Hivi wewe Crashwise unapotoka povu jingi hivyo na kuwaita ama kuhalakisha watu wote wanaopinga ujinga huu wa kuabudu watu mmoja mmoja ndani ya chama kuwa ni ccm, wewe tunaamini vipi kuwa ni CDM? Au unataka kutumia ujinga huu wa kitetea maovu ndani ya CDM kuhalalisha uCDM wako? Vipi tukisema wewe ndiyo CCM namba moja unatetea maovu haya ili kuiua CDM utabisha?
Lakini ingekuwa vyema mlalamikiwa aje hapa kukanusha kama alivyofanya zito
 
Chilisosi a.k.a Chris Lukosi, upoooo!!
Nipo kamanda, nashangaa wanavyomchana kamanda wetu hapa imeniuma mpaka nimeona ni vyema aje mwenyewe akanushe si unajua sio vizuri future waziri wa mambo ya ndani atukanwe hivi hadharani, mie na makamanda wenzangu tumemaindi
 
Kama inaifaham vizuri historia ya nyuma ya maisha ya lema huwezi kubisha hili moja kwa moja.

Kuna watu wanahoji eti kama angelikua hafai basi asingelichaguliwa?Nina hofu ni uelewa wa watu Hawaii.mmeshindwa kufanya political analysis ya thirdword countries.

Kuna kipindi hata babu yenu (slaa) alitamka hivi, kwa Arusha hata liwekwe jiwe kwa tiketi CDM na CCM waweke mtu bado watu wa arusha watachagua jiwe.

Kwamaana hiyo sishangai kwa kinachotokea na kwasababu mnapaita ngome ya CDM lema hatafanywa chochote.
 
Hivi wewe Crashwise unapotoka povu jingi hivyo na kuwaita ama kuhalakisha watu wote wanaopinga ujinga huu wa kuabudu watu mmoja mmoja ndani ya chama kuwa ni ccm, wewe tunaamini vipi kuwa ni CDM? Au unataka kutumia ujinga huu wa kitetea maovu ndani ya CDM kuhalalisha uCDM wako? Vipi tukisema wewe ndiyo CCM namba moja unatetea maovu haya ili kuiua CDM utabisha?
Nina kadi tano ya CCM, NCCR, TLP, CUF na CHADEMA.
 
Vipi zile tender umeshazitia kibindoni, wewe mjanja sana umechungulia ukaona tender ziko ccm ukaamua kurudi ili wakupe, vipi wakisha kupa unaweza kulejea chadema au unaenda CUF...
Lakini ingekuwa vyema mlalamikiwa aje hapa kukanusha kama alivyofanya zito
 
Hahahaaaaaa!Maccm yamemshindwa General Slaa yamemgeukia kanali Lema.Hata mkilia bakora bado!
 
Mapambano ya kutafuta haki nimeamini ni magumu. Heri ujasiri wa kuitafuta haki kwa niaba ya watu wako kuliko uoga wa kuiangamiza jamii yako,

Ni kweli ila hiyo haki iwe ni ya ukweli kuliko uongo. Hiyo jamii itakapogundua kuwa uliwadanganya hata kama ilikuwa haki yao watakuchukia milele. Lakini ukiwaambia ukweli watakuamini hasa suala lenyewe linapokuwa halina madhara ya moja kwa moja kwao.
 
Napendekeza CHADEMA watolee tamko hii Kashfa.Hatutaki kuitoa CCM na kuingza CCM kwa Mlango wa nyuma.
 
Back
Top Bottom