Hapana. Ndo imetoka hiyo. Labda mumsimamishe Slaa.
Lema amepigwa chini. Reasoning ya jaji inaonyesha alihongwa. The way forward ni kwenda Court of Appeal. Hata hivyo ccm wahangaika bure maana hata uchaguzi ukirudiwa leo watapigaragazwa kwa mbali
CDM itashida ila itakuwa fundisho kwa wagombea kutumia lugha ya matusi na uongo ambao umekuwa fasheni.Hapo issue sio lowasa ila ni kulinda amani ya nchi kwa mtu kuamua kumtukana mwenzie
Mbona mleta habari analeta habari nusunusu wengine hatuko Arusha Tupeni habari nzima
Kajiue basi
Utabiri wa Mwanakijiji leo ujafanya kazi? alitabiri %99.99 Lema anashinda kesi...Mwanakijij upo Mkuu wangu! mambo ya kisheria hayana uhusiano na utabiri.
Wakuu samahani kuna mtu anaweza tuwekea matokeo ya Mh Kamanda Lema na yule mama Mam.vi kipindi kile cha Uchaguzi 2010?
ARUSHA | |||
JIJI LA ARUSHA | |||
ARUSHA MJINI | |||
Candidate | Political Party | Number of Votes | Percentage Votes |
LEMA GODBLESS JONATHAN | CHADEMA | 56,196 | 57.68 |
BATILDA DR. SALHA BURIAN | CCM | 37,460 | 38.45 |
YUSSUPH BAALAWAY GHARIB | CUF | 2,022 | 2.08 |
JOSEPH MARK MAFUATA | MAKIN | 456 | 0.47 |
MACMILLIAN ELIFATIO LYIMO | TLP | 179 | 0.18 |
SPOILT VOTES | 1,115 | 1.14 | |
TOTALS | 97,428 | 100 |