kkizzo2011
Member
- Apr 3, 2012
- 15
- 3
hawatuwez hasahau kabisa kuwa ndo hali halisi
washenzi hawa wamepanga kutokuitisha uchaguzi mwingine mpaka 2015 jimbo litakaa wazi kama kwa wale madiwani lakini moto wake watauona tuCredit nzuri kwa Chadema. Uchaguz ukirudiwa Lema atapta tena na ndo kitakuwa kifo cha CCM
Ngongo, hukumu imesema anaruhusiwa kugombea.
Lema kavulia ubunge rasmi...
Hii ni taarifa rasmi toka hapa mahakamani!
ooh haina shida kwani jimbo litabaki kuwa CDM tu. kwa hilo halipingiki!!
Nipo hapa viwanja vya mahakama kuu kanda ya Arusha, Kilaza LEMA kapigwa chini. Semeni sasa nyie magwanda. Chezea CCM nyie!!!!! Niliwaambia jana mkaleta mboyoyo zenu
Mkuu,
Wanajitesa tu hawa wanaccm...hawataenda mbali!