Nimejiuliza Sana! Hivi CCM mna agenda gani (Kufa au Kuishi, Kuzirai au kuzimia). Arusha mjini ni nani atasimama mbele ya MAKAMANDA na Nguvu Ya Uma! Je, Mkapa (Atasema hamtambui baba yake Mbowe, baada ya kushindwa jaribio la kutomtambua Vicent), Wasira (Atasema Slaa hajawahi kuwa Padri baada ya kushindwa jaribiola uongo uliovuka mipaka juu ujio wa Papa dhidi ya Slaa na Pesa za michango, sijui hii itakuaje!), Mwigulu na wenzake (Wao wanategemea majira yatakuwa ya Mvua au Kiangazi). CHADEMA itadumu milele. Mungu ibariki CHADEMA.