Godbless Lema apata ajali

Godbless Lema apata ajali

Hiyo picha mbona ya siku nyingi? Au Lema anatafuta sababu za kutoshiriki mkutano wa bunge la bajeti?
 
kajingongesha mwenyewe ; Hapte huruma ya wapiga kura.

Kama ulifanya maendeleo kwa wana ARUSHA OCT ; Tueleze miaka yote umeleta nini ; zaidi ya mikutano 1987646
Kweli kabisa Mkuu. Hiyo Suzuki inayosemekana kuwa imegongwa mbona haionekani?
 
Tuwekeeni hiyo picha ya suzuki ikiwa imepata ajali mkabala na gari la Lema
 
Angekuwa ccm kapata hili janga upande wa pili wengi wangemdhihaki. Lakin wana ccm huweka itikad pemben na kujumuika pamoja, huo ni ukomavu ambao upande uleee inabid ujifunze

Yaan sio hio tu angekuwa ni mtu kama zitto kapata ajili yaan ,kebehi na matusi yangejaa humu
 
Arusha hakuna mbunge ni jinamizi tu Hata angekufa poa tu
 
EEEE bwana kumnbe uchugazi umeanza kubadili tabia za wengi. Imeanzia kwa Lukuvi bungen na RITZ na yeye amekuwa na mawazo ya kiutu.

Nimemsoma RITZ sikuelewa nikahisi nina kihoro cha taarifa hii ya ajali kumbe ni yeye.
 
Asante YESU, poleni na majeraha MUNGU atawaponya.
 
Watu wengine bana ajali inaweza kumtokea yeyote siasa siyo uadui haya ni masuala ya kibinadamu siasa kwako ni uadui?

Heshima kwako mkuu! Hakika ushabiki wa kisiasa usituondolee udugu na utu wetu.
 
Ushauri wangu kwa wabunge wa CHADEMA, hasa hawa vijana,

- Ajirini madereva waliosomea kazi hiyo acheni kuokoteza wahuni huko mtaani na kuwafanya ndio madereva wenu.
Wengi wao ni walevi wa pombe na bangi.
Tumeshuhudia SUGU ameshapata ajali zaidi ya nne toka awe Mbunge, ya mwisho ilikuwa ni pale Kitonga. Pia tusisahau tulishampoteza Kamanda Regia(R.I.P) kwenye ajali pale RUVU.

Wabunge huwa wanalipwa fedha kwa ajili ya dereva, ajirini!!
IMG-20150110-WA0040-1.jpg
 
Back
Top Bottom