Godbless Lema apata ajali

Godbless Lema apata ajali

Pole sana Lema pamoja na makamanda wengine majeruhi Allah atawaafu.

Ni wewe kweli, Ritz unayetoa pole hizi kwa Lema? Asante kwa niaba ya Lema, huenda Mungu kaubadilisha moyo wako, kutoka moyo wa jiwe hadi kuwa moyo wa nyama! Karibu sana kamanda Litz!
 
safi sana ! pongezi nyingi zikuendee Mungu kwa wema wako wa kuwaokoa wapiga kura kwenye suzuki na mbunge wao kiboko ya wasaliti prophet lema , Mungu oyeeee !!!
 
Ni wewe kweli, Ritz unayetoa pole hizi kwa Lema? Asante kwa niaba ya Lema, huenda Mungu kaubadilisha moyo wako, kutoka moyo wa jiwe hadi kuwa moyo wa nyama! Karibu sana kamanda Litz!
siku ya mwisho kila goti litapigwa .
 
Mh.lema alitoka salama
 

Attachments

  • 1433967746491.jpg
    1433967746491.jpg
    59.2 KB · Views: 470
Pole Mh. Lema (MB) na wote mlihusika kwenye ajali.. Wazo zuri, nendeni hosp kwa check up zaidi.
 
asante ewe Mungu kwa kumlinda Mbunge wetu na wote aliokuwa nao naomba uippushe nchi yetu na majanga ya ajali na shetani wa ajali nakufunga na kukutupa kuzimu ktk jina la yesu
 
Pole sana Lema, ktk shida kama hizi tuko pamoja..siasa naweka pembeni...pole sana
 
pole sana kaka, mh Godbless Lema. Mungu akulinde kamanda
 
EEEE bwana kumnbe uchugazi umeanza kubadili tabia za wengi. Imeanzia kwa Lukuvi bungen na RITZ na yeye amekuwa na mawazo ya kiutu.
Watu wengine bana ajali inaweza kumtokea yeyote siasa siyo uadui haya ni masuala ya kibinadamu siasa kwako ni uadui?
 
Daaah, Pole zake nyingi sana Kamanda wetu

Hizi ajari mbona zimemuandama sana Kamanda Lema? Nakumbuka hii ni ya pili baada ya ile ya kule Kahama. Bora isiwe ni masuala ya Kisiasa maana hawa wenzetu hawaishi uharamia.!

Ashukuliwe Muumba kwa kimuepusha na balaa hili.

BACK TANGANYIKA

Duuu,mkuu inaweza wakafikia hata hatua ya kutaka kumuondoa? Ni ajali za kawaida na mungu anasimamia kila jambo.
 
Ni wewe kweli, Ritz unayetoa pole hizi kwa Lema? Asante kwa niaba ya Lema, huenda Mungu kaubadilisha moyo wako, kutoka moyo wa jiwe hadi kuwa moyo wa nyama! Karibu sana kamanda Litz!
Hapa hatupo kwenye siasa huu ni ubinadamu.
 
Back
Top Bottom