watundawangu
JF-Expert Member
- Mar 26, 2011
- 250
- 77
Pole sana Lema pamoja na makamanda wengine majeruhi Allah atawaafu.
Ni wewe kweli, Ritz unayetoa pole hizi kwa Lema? Asante kwa niaba ya Lema, huenda Mungu kaubadilisha moyo wako, kutoka moyo wa jiwe hadi kuwa moyo wa nyama! Karibu sana kamanda Litz!