Kumbuka hata jina lake limekaa kimaombi maombi, anaitwa 'Gobless Mr Lema'MUNGU anaendelea kumtetea LEMA na hila zote zinazoelekezwa kwake....
Hili mbona kama kosa la dereva? Hiyo eskudo lazima alipe gari jipya huwezi endesha gari kilevi na kusababisha dhahama barabarani. Hawa madereva wa chadema unakuta wanaendesha magari kwa kasi utadhani wamebeba alshabaab.
Pole sana Lema pamoja na makamanda wengine majeruhi Allah atawaafu.
Mkuu tangu uokoke naona afya yako ya akili imeimarika sana.
Kudos!
Pole sana Lema pamoja na makamanda wengine majeruhi Allah atawaafu.
Mkuu wewe ndo unaanza kuleta hizo fikra, tulia majanga kama haya hayana itikadi. Tumshukuru Mungu mbunge wetu kapona.
Hili mbona kama kosa la dereva? Hiyo eskudo lazima alipe gari jipya huwezi endesha gari kilevi na kusababisha dhahama barabarani. Hawa madereva wa chadema unakuta wanaendesha magari kwa kasi utadhani wamebeba alshabaab.
Thanks be to God hakuna aliyeumia. Bima italipa uharibifu na ndiyo kazi yake. Wewe acha chuki ajali hata wewe ukiwa makini unaweza kugongwa.
Mkuu tangu uokoke naona afya yako ya akili imeimarika sana.
Kudos!
Hahaha. Watu wengine bhanaa. Yaani hujuma ya kisiasa ndo imewafanya wa overtake bila kuchukua tahadhari?