Godbless Lema apata ajali

Godbless Lema apata ajali

Mkuu hapa tunashauriana tu, sio mashindano, Kunywa Pombe na kuendesha chombo cha moto ni hatari sana, Muulize Joseph Selasini anafahamu.

Msalani kwa kauli yako inatia wasiwasi kuwa upo kwenye kitengo maalum ndani ya chama chako kinachoratibu kusababisha ajali za wabunge wa cdm,ulimi wako umekuponza mkuu
 
EEEE bwana kumnbe uchugazi umeanza kubadili tabia za wengi. Imeanzia kwa Lukuvi bungen na RITZ na yeye amekuwa na mawazo ya kiutu.

Katika masuala yanayohusu utu wetu wa Tanzania, kama ulikuwa hujui, tambua toka leo. Katika shida hakuna u CCM wala u CHADEMA. Ukitaka kutambua hilo ombea nchi ivamiwe kwa mfano ndo utajua waTanzania waliachwa vizuri na Mwl.

Ni wana siasa njaa ndo wanaotaka kutugawa kwa misingi wanayoona itawapa mtaji wa kutuibia zaidi.

Pole kamanda Lema.
 
Back
Top Bottom