Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

Mbunge Lema anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kufanya vurugu kwenye vituo vya uandikishaji. Tunawaomba polisi wamshikilie mpaka uandikishaji utakapoisha.

Umekurupuka najua hapo umekalia msumari wa moto na kibaya zaid unakutekenya nyuma unasikia rahaaaa, acha kutumika tigo ya zamani 0712 ukweli na taarifa kamili itakuja na utajua ukwl, but unajua ukwl ila ni kwasababu ya njaa za ajabu ajabu tu
 
Mbunge Lema anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kifanya vurugu kwenye vituo vya uandikishaji. Tunawaomba polisi wamshikilie mpaka uandikishaji utakapoisha.



Mijinga mingine kama wewe natamani tu niwachape viboko mpk ushike adabu mtumwa pumbavu sana wewe! Eti Mh. Lema ashikiliwe mpaka lini???
 
Yaani Lema akijisikia tu lazima alianzishe ili ashikiliwe na polisi
 
Mbunge Lema anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kifanya vurugu kwenye vituo vya uandikishaji. Tunawaomba polisi wamshikilie mpaka uandikishaji utakapoisha.

Mkuu inaonyesha mahaba yako yamepitiliza sana
 
Wananchi tufanye mabadiriko tutakufa hakuna huduma za afya chini ya ccm.
 
Chama tawal hakiwezi kuondoka kirahisi. Lazima damu imwagike kama baadhi ya nchi walivyomwaga damu kuuondoa ukoloni
 
Back
Top Bottom