Siasa bila watu unaweza wehuka, mtaji wa mwanasiasa ni watu.
Mzima kabisa wala si nusu. Uelewa mdogo sana wa kishetani. Matusi ni kuona uelewa wangu mdogo na wewe bonge la GT. Vile unaona mabandiko yako ni hoja? Pole. Simple mind ndiye awezaye kusema : kaandamane sasa. Diabolic thinking, mama Devil. Sijatukana binadamu. I call a spade a spade. If the cap fits you wear it.Wewe ni mzima Kweli?
Una uelewa mdogo sana ndio maana unatoa tuu mitusi bila kujenga hoja.
Haya nenda kaandamane sasa