Kweli wewe ni Kifaurongo. Wanakimbia kuuawa. Kifo hakikimbiwi. Wakiuawa watakuja kuomba kura? Wakiwa hai hata kwa kutuacha solemba leo wanaweza kuomba kura wakati muafaka. Tutawaelewa na kura tutawapa. Maiti hapigiwi kura. Leo wanatafutwa wanawindwa. Hitler alijua hawezi kutawala dunia kama wanaishi Wayahudi. Wakauawa. Kuna mtu anataka kumiliki Tanzania. Hawezi kama wanaishi wapinzani. Wauawe!Yaani imefikia hatua viongozi wote wa Chadema wanatuacha Solemba. Halafu 2025 warudi tena kutuomba kura😂😂