Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,467
Ahaaaa, Amin alitoka madarakani baada ya vita vya Kagera mwishoni mwa 1979. Museveni aliingia madarakani mwaka 1986, ninaposem alimg'oa Amin sababu alikuwa ni mmoja wa makamanda waliopigana vita vya Kagera ili kumg'oa Amin. Tumia common sense acha hasira,tulia acha papara.
Vita vya Kagera viliongozwa na Tanzania ndio wakafanikiwa kumg'oa nduli. Saa unaposema Museveni alimng'oa Amin sijui nikuelewe vipi. Hiyo 86 wakati anaingia madarakani, alitokea msituni dhidi ya general Tito Okelo. Sasa huko msituni ndio kuungwa mkono na wananchi?