Mimi ni mkristo ambaye huwa nikisoma biblia naona wazi kwamba Yesu ni tofauti kabisa na Mungu...sasa haya umeyaandika naona ni uongo tu, unanishaurije
Mkuu inabidi ufanye namna ufanye research zaidi tafuta materials za scholars wa Kikristo watakusaidia kufahamu Imani kiundani zaidi yaani utakuwa unasoma maandiko na context zake zilivyo unaweza kuanzia na hizi website 👇
http://shamounian.com/ (nenda kwenye menu pale utachagua unataka majibu ya maswali Gani)
na pia Kuna hii 👇itakusaidua pia
Making Truth Famous
acts17.org
ILA KWENYE ULICHOJIBU INATEGEMEA NA ULICHOKIMASNISHA
Iko hivi katika biblia takatifu neno MUNGU likitumika independent mara nyingi limemaanisha kuwa GOD THE FATHER kwahiyo ukisema kuwa Yesu sio God the Father unakuwa unapatio kabisa kwa 100%.
Pia hata wayahudi walikuwa wanalijiwa Hilo na ndiyo maana walitambulika kama watoto wa MUNGU maana katika Imani ya kiyahudi wao pia MUngu humwita BABA (God the Father) na wao hujiita watoto wa MUNGU.
Pia katika Imani ya kikristo, Kuna MUNGU mmoja ambaye anaexist in three person's yaani God, WORD(his word) and SPIRIT(his spirit), yaani kama wewe unavyoexist in three persons yaani MWILI WAKO,NAFSI YAKO NA ROHO YAKO, vyote hivyo ni WEWE.
Mfano mtu akifa MWILI WAKE anauacha duniani na ROHO/NAFSI inaenda mahala pengine kusubiri hukumu, kwahiyo Ile ROHO/NAFSI itakapoenda kusubiri hukumu Ile ROHO/NAFSI inayosubiri hukumu ni WEWE na hata mwili uliobaki duniani pia ni WEWE.
Kwahiyo ROHO YAKO ni WEWE, NAFSI YAKO ni WEWE na MWILI wako ni WEWE.
Tofauti kati yako wewe na MUNGU ni kwamba wewe huwezi kujigawanya ukasema ROHO yako uipeleke kigoma, MWILI wako uupeleke singida halafu NAFSI ikakae mbeya, yaani huwezi kuexist sehemu tatu at the same time kwa matakwa yako utaweza kuexist sehemu mbili tu kwa uwezo wa MUNGU yaani pale mtu akifa anauacha MWILI duniani na ROHO/NAFSI zitaenda mahala kusubiri hukumu.
Refer to Thessalonians 5:2
May God himself, the God of peace, sanctify you through and through. May your whole SPIRIT, SOUL and BODY be kept blameless at the coming of our Lord Jesus Christ.
Zingatia Kwenye Imani ya Kikristo, neno MUNGU likitumika independent maana yake linamaanisha God the Father.
Kumbuka pia kwenye Imani ya Kikristo huyo MUNGU anayeexist in three persons yaani God,his Word and his SPIRIT, Sasa alichokifanya MUNGU ni KUJA duniani kupitia his Word, ambapo his word(neno wa MUNGU) ndo akafanyika kuwa Yesu ambaye ni mwanadamu kamili kwa 100% ambaye ndani yake pia ni neno wa MUNGU, na hivyo yeye pia ni MUNGU,
REFER TO JOHN 1:1 In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
Na ndiyo maana kwa wakristo wote Yesu ni MUNGU aliyeshuka na kuwa binafamu kamili kwa asilimia mia Ili KUJA kushare na wanadamu matendo matakatifu na kuonyesha mfano vile ambavyo binadamu anapaswa kuishi na pia alikuja kuukomboa ulimwengu kutoka katika uovu na pia alikuwa crucified msalabani na kufa na siku ya tatu kufufuka Ili wanadamu tupate kusamehewa dhambi as the bible said mshahara wa dhambi ni mauti, kwahiyo ilikuwa dhambi lazima ilipiwe na mauti na hayo mauti ndo yaliyoukuta mwili wa Yesu.
Kwahiyo unaposikia kusulubishwa juwa kuwa umesulubishwa mwili wa binafamu ambao ndio mwili wa Yesu ambaye ni neno wa MUNGU ambaye pia ni Mungu ambaye alishuka duniani na kuwekwa ndani ya bikira maria na Kisha kufanyika kuwa mwanadamu mwenye uanadamu kwa asilimia mia na akiwa na neno wa MUNGU ndani yake.
Word of God ( Yesu) Aliset aside utukufu wake na kujihumble ili aje kushare na binadamu Yale matendo ya kiungu na ndiyo maana wakati Yesu anarudi Mbinguni aliwmwambia MUNGU ( God the Father/his father) Nitukuze Ili nami nikutukuze katika utukufu ambao Yesu wote walikuwa nao (God and His word) kabla hata ulimwengu haujaumbwa.
REFER TO John 17:1-5After Jesus said this, he looked toward heaven and prayed:
“Father, the hour has come. Glorify your Son, that your Son may glorify you. 2 For you granted him authority over all people that he might give eternal life to all those you have given him. 3 Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent. 4 I have brought you glory on earth by finishing the work you gave me to do. 5 And now, Father, glorify me in your presence with the glory I had with you before the world began.
Na hakuna binadamu anayeweza mwambia MUNGU (God the Father) kuwa MUngu Nitukuze kwa maana MUngu hatukuzi binadamu ila binadamu ndo humtukuza Mungu lakini kwa Yesu ilikuwa sawa kwakuwa Yesu ni Neno na Neno ni Mungu
Refer to JOHN 1:1 In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
NOTE: that Word that was there in the beginning ndiye aliyekuja kufanyika na kuwa mwili wa Kristo Yesu na hiyo God iliyotumika hapo independent ndiyo God the Father.
Pia kumbuka kuwa that Word of God ndiyo iliyokuja kufanyika kuwa mwili wa Yesu ambaye ni mwana wa God the Father, bila kusahau kuwa alifanyika kuwa mwili wa binadamu (mwili wa Yesu) kutoka kuwa Word of God, so Word of God ambayo pia ni God ndiyo ilifanyika kuwa mwili wa binadamu ambaye ni Yesu na ndiyo maana katika Imani ya Kikristo Yesu ni GOD in Flesh yaani ni 100 percent binadamu na pia MUngu kwa maana Neno wa MUNGU ndiyo aliyofanyika kuwa binadamu ambaye ni Yesu na ndiyo maana hata Yesu alikuwa anasamehe dhambi
REFER TO Matthew 9:2, ESV:
And behold, some people brought to him a paralytic, lying on a bed. And when Jesus saw their faith, he said to the paralytic, “Take heart, my son; your sins are forgiven.”
Na hicho ni kitu ambacho Mungu tu anaweza fanya lakini Yesu alifanya kwa maana Yeye si tu binadamu kwa asilimia Mia Bali pia Kuna Uungu ndani yake na hakuna hata nabii Wala mtume yeyote kwenye biblia aliyewahi kusamehe dhambi ila Yesu aliweza kwakuwa yeye hakuwa nabii tu Bali ni Mungu pia.
KWAHIYO MKUU KAMA WEWE NI MKRISTO LAZIMA UJUWE KUWA KWENYE UKRISTO MUNGU NI MMOJA NA ANAEXIST IN THREE PERSONS KAMA NILIVYOKUELEZA HAPO JUU NA PIA UNAWEZA KUREFER MAANDIKO HAYA
1 JOHN 5:7 For there are three that bear record in heaven, the Father( God the Father), the Word(Jesus), and the Holy Ghost(holy spirit) and these three are one.
1 Yohana 5:7 NEN
Kwa maana wako watatu washuhudiao[ mbinguni: hao ni Baba, Neno na Roho Mtakatifu. Hawa watatu ni umoja.
Note that:Nimemjibu MKRISTO so sitaki mabishano na mtu yeyote nimemuelekeza tu juu ya Imani yake pasipo kigusa au kutaja Imani ya upande mwingine.