God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

Kwa hiyo unataka kusema huyo mkristo Alie andika hiyo surah hakujua kutofautisha harun na Mariam Alie mzaa Isa kumbuka Imran nae alikuwa na mtoto anaitwa Mariam hapa ndipo character walipo changanywa

Na wayahudi walimfuata Muhammad wakamwambia anachanganya maandiko yao na anachanganya majina
Mzee, kwani wewe kuitwa Yohana inamaanisha hakuna yohana mwingine duniani?
Wote ndiyo waliitwa Imran.
Mmoja alimzaa miriam dada ake musa
Mwingine alimzaa maryam mama ake yesu.

Wewe ndo unachanganya, wala Quran haijasema Imran baba ake Musa ndiye baba ake mama wa yesu
 
Mzee, kwani wewe kuitwa Yohana inamaanisha hakuna yohana mwingine duniani?
Wote ndiyo waliitwa Imran.
Mmoja alimzaa miriam dada ake musa
Mwingine alimzaa maryam mama ake yesu.

Wewe ndo unachanganya, wala Quran haijasema Imran baba ake Musa ndiye baba ake mama wa yesu
Huyo mkristo alieandika hiyo surah hakuchanganya jina la baba tu mpaka Haruni alimuweka ni kaka yake Mariam Alie mzaa Isa

Na wayahudi walimfuata wakamtaka arekebishe maana ni historia Yao na wao ndio wanaijua vizuri Muhammad akakaza fuvu ili asionekane kachemka akatoa visingizio vya kitoto
 
Huyo mkristo alieandika hiyo surah hakuchanganya jina la baba tu mpaka Haruni alimuweka ni kaka yake Mariam Alie mzaa Isa

Na wayahudi walimfuata wakamtaka arekebishe maana ni historia Yao na wao ndio wanaijua vizuri Muhammad akakaza fuvu ili asionekane kachemka akatoa visingizio vya kitoto
Mzee mbona unaweka porojo tu ukiombwa ushahidi unaruka ruka?
 
Mzee mbona unaweka porojo tu ukiombwa ushahidi unaruka ruka?
Wazazi na ndugu wa damu wa Isa , tuna Imran , Maryam , Harun na Issa hii ni Koran
3;35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu........
36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke(Maryamu)
19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya.
66;12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake,
 
Ushahidi wa kuchanganya character au upi ? Muhammad alifutwa kabisa na wayahudi wakamtaka asichanganye historia yao
Mze kwani wayahudi ni Miungu...weka huo ushahidi qa kuchanganya charracters
 
Mze kwani wayahudi ni Miungu...weka huo ushahidi qa kuchanganya charracters
Historia ni ya kwao wao ndio wameandika na kuhifazi history Yao

Mfano watanzania tuna historia ya Nyerere alafu aje mkenya aanze kutuchanganyia mambo na kusema ndio history ya Nyerere , lazima kama watanzania tutamuonya
 
Wazazi na ndugu wa damu wa Isa , tuna Imran , Maryam , Harun na Issa hii ni Koran
3;35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu........
36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke(Maryamu)
19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya.
66;12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake,
Ule ulikuwa ni utamaduni wa wayahudi kuitana kwa wajina...
Mfano mtsani kwetu kuna jamaa anaitwa John, Basi watu walikuwa wanamuita Magufuli na kumuita raisi.

Kwahyo Mariam kuitwa dada wa Haruni ilikuwa sio literally lakini ni figuratively
 
Historia ni ya kwao wao ndio wameandika na kuhifazi history Yao

Mfano watanzania tuna historia ya Nyerere alafu aje mkenya aanze kutuchanganyia mambo na kusema ndio history ya Nyerere , lazima kama watanzania tutamuonya
Sasa wamekosea, maana wameikosea historia ya wamisri na kufosi kiongozi wa nisri aliitwa farao enzi za yusufu wakati sio
 
Ule ulikuwa ni utamaduni wa wayahudi kuitana kwa wajina...
Mfano mtsani kwetu kuna jamaa anaitwa John, Basi watu walikuwa wanamuita Magufuli na kumuita raisi.

Kwahyo Mariam kuitwa dada wa Haruni ilikuwa sio literally lakini ni figuratively
Kati ya harun na Musa nani wa muhimu zaidi , jamaa Alie muandikia ndio maana alisema Muhammad hajui kitu
 
Sasa wamekosea, maana wameikosea historia ya wamisri na kufosi kiongozi wa nisri aliitwa farao enzi za yusufu wakati sio
Ni history zao na hawajakosea , Alie kuja kuiba kazi za wayahudi ndio kapuyanga vibaya
 
Umuhimu unahusikaje?? Nani mkubwa kati ya mussa na haruni?
Ndio maana nimekwambia Alie muandikia alidiriki kutamka wazi Muhammad hajui kitu

Kama kuita dada kwa umuhimu alitakiwa basi ata amtaje Musa , ila history inakataa
 
Ni history zao na hawajakosea , Alie kuja kuiba kazi za wayahudi ndio kapuyanga vibaya
Wamekosea mzee..Kiongozi wa Misri hakuitwa farao enzi za Yusufu.

Halafu mbona unaruka maswali yangu yako nayajibu??
Kitabu cha zamani kuliko vyote vya biblia kimeandikwa mwaka gani?
 
Ndio maana nimekwambia Alie muandikia alidiriki kutamka wazi Muhammad hajui kitu

Kama kuita dada kwa umuhimu alitakiwa basi ata amtaje Musa , ila history inakataa
Umuhimu kivipi? Wakati haruni ndio mkubwa
 
Wamekosea mzee..Kiongozi wa Misri hakuitwa farao enzi za Yusufu.

Halafu mbona unaruka maswali yangu yako nayajibu??
Kitabu cha zamani kuliko vyote vya biblia kimeandikwa mwaka gani?
Nimekwambia hawajakosea wewe unekuja juzi unataka kuandika history Yao ,
Muhammad alitakiwa kuandika history ya waarabu sio kuiba kazi za watu na kuzikosea , alizikuta akafanya plagiarism
 
Nimekwambia hawajakosea wewe unekuja juzi unataka kuandika history Yao ,
Muhammad alitakiwa kuandika history ya waarabu sio kuiba kazi za watu na kuzikosea , alizikuta akafanya plagiarism
Acha mbambamba Kitabu cha zamani cha Biblia kimeandikwa mwaka gani?
 
Back
Top Bottom