medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,445
- 1,531
Kafiri unakaza fuvu kwa hoja za kizezeta. Inaelekea biblia haujamaliza hata sura moja.Ni history zao na hawajakosea , Alie kuja kuiba kazi za wayahudi ndio kapuyanga vibaya
Kwenye biblia sifuri kichwani utaweza kuielewa Qur'an.
Au haufahamu Musa na ndugu yake Harun wametajwa kwa pamoja kwenda kumuendea firauni kwenye Qur'an kumpa mawaidha.
Hizi tabu za kunyofoa vitu ovyo google bila kufuatilia ndiyo tabu yake hadi pumba unamezeshwa za ovyo.
Biblia ina 'numerical contradictions' kuliko kitabu chochote pamoja na biblia mpya kila kukicha.