God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

Kilichomfanya kubadili ni alipogundua Muhamad hajui mengine nje ya anayofunuliwa.

Ndiyo maana kasema BUT hapo
"He knows nothing But the ones I write for him"

Alichanganya akadhani Muhamad ni Mungu anajua kila kitu...wakati Muhamad ni binadamu tu ambaye nayeye ni kama chombo ambacho mungu alitumia kufikisha Ujumbe wake.
Usikwepe huyu mkristo alikuwa anaandika utunzi wake na muhammad alikuwa hajui chochote anacho andika , hii ndio sababu kubwa akaachana na Muhammad akajua jamaa kanjanja

Mwisho wa siku jamaa akafa kifo Cha kutatanisha wakasema Allah kamuua
 
Kwahyo wakristo walimsaidia kujua cheo cha kiongozi wa misri kipindi cha Yusufu kilikuwa ni mfalme sio Farao??
Kwanini hao waKristo wasingerekebisha biblia zao?
Nyie kupitia vitabu vyenu ndio mnatuambia wakristo walimuandikia Koran ,
Wakristo walikuwa wasome toka enzi mpaka Leo hii

Mtume hakujua chochote walicho kuwa wanamuandikia
 
Wewe jibu kwanza kwanini kitumike kabla ya muda wake?
Na wapi kwenye Quran kimetumika kama jina?
Nimekwambia biblia ndio ipo sahih hiyo ya kabla ya muda ni wana historia wamekosea
 
Usikwepe huyu mkristo alikuwa anaandika utunzi wake na muhammad alikuwa hajui chochote anacho andika , hii ndio sababu kubwa akaachana na Muhammad akajua jamaa kanjanja
Hili ndo tatizo sasa la kukimbia umande.
Hiyo sentesi yako kwa kiingereza ingeandikwa hivi
"Muhamad knows nothing about what I have written for him"

Lakini jamaa hakusema hivyo, anasema "He knows nothing But what I have written for him"

Kwa kuelewa zaidi naifafanua hivi "Muhamad knows nothing else except what I have written for him"

So Muhamad alijua kila kitu cha Quran ila vingine hakujua.
Na nikweli hakujua vingine maana hakuwa msomi, ila aliyokuwa anayajua yote alikuwa anayatoa kwa Allah
 
Nimekwambia biblia ndio ipo sahih hiyo ya kabla ya muda ni wana historia wamekosea
Sasa ngoja nikuzomee Woooooooh!!!

Sasa wanaSayansi, wanahistoria, na Quran wote wameungana kusema Cheo cha Farao hakikuwepo enzi za Yusufu.
Wewe na biblia lenu unakaza fuvu.

Hata neno Farao tu linajidhihirisha ni la lini ukifuatilia maana yake.
 
Hili ndo tatizo sasa la kukimbia umande.
Hiyo sentesi yako kwa kiingereza ingeandikwa hivi
"Muhamad knows nothing about what I have written for him"

Lakini jamaa hakusema hivyo, anasema "He knows nothing But what I have written for him"

Kwa kuelewa zaidi naifafanua hivi "Muhamad knows nothing else except what I have written for him"

So Muhamad alijua kila kitu cha Quran ila vingine hakujua.
Na nikweli hakujua vingine maana hakuwa msomi, ila aliyokuwa anayajua yote alikuwa anayatoa kwa Allah
Aliachana na Uislamu baada ya kujua maandiko yake ndio yanakuwa ya Uislamu

Sio huyo tu mpaka ile verse ya Allah is the best of creators ni jamaa alitamka Muhammad akasema waiweke kwenye Koran jamaa akaachana na Uislamu mda huo huo
 
Aliachana na Uislamu baada ya kujua maandiko yake ndio yanakuwa ya Uislamu

Sio huyo tu mpaka ile verse ya Allah is the best of creators ni jamaa alitamka Muhammad akasema waiweke kwenye Koran jamaa akaachana na Uislamu mda huo huo
Weka ushahidi, acha porojo sasa
 
Sasa ngoja nikuzomee Woooooooh!!!

Sasa wanaSayansi, wanahistoria, na Quran wote wameungana kusema Cheo cha Farao hakikuwepo enzi za Yusufu.
Wewe na biblia lenu unakaza fuvu.

Hata neno Farao tu linajidhihirisha ni la lini ukifuatilia maana yake.
Biblia ndio ipo sahih
Mlio kuja juzi na kipeperushi Koran mmekosea
 
Weka ushahidi, acha porojo sasa
Soma tafsir ya hiyo verse , Muhammad alikuwa anasema kuhusu uumbaji jamaa aliekuwa anaandika akachomekea Allah is the best of creators, Muhammad akasema put it there , jamaa nimesahau jina lake akasema Aya ni maneno yangu Muhammad akasema jibril kaniambia hivyo hivyo
 
Hili ndo tatizo sasa la kukimbia umande.
Hiyo sentesi yako kwa kiingereza ingeandikwa hivi
"Muhamad knows nothing about what I have written for him"

Lakini jamaa hakusema hivyo, anasema "He knows nothing But what I have written for him"

Kwa kuelewa zaidi naifafanua hivi "Muhamad knows nothing else except what I have written for him"

So Muhamad alijua kila kitu cha Quran ila vingine hakujua.
Na nikweli hakujua vingine maana hakuwa msomi, ila aliyokuwa anayajua yote alikuwa anayatoa kwa Allah
Ili huyu mwamba alieandika surah hizo 2 ndipo alimuingiza chaka Muhammad
Kwamba baba yake Musa , harun na Maryam ambae iliitwa Imran ndio baba yake Mariam aliemzaa Yesu (Isa) fake wa kwenye koran
 
La mkristo aliemuandikia vitu Muhammad hajui tumeshamaliza
Kwahyo umekiri hizi zilikuwa porojo tu sio??
Sio huyo tu mpaka ile verse ya Allah is the best of creators ni jamaa alitamka Muhammad akasema waiweke kwenye Koran jamaa akaachana na Uislamu mda huo huo
 
Ili huyu mwamba alieandika surah hizo 2 ndipo alimuingiza chaka Muhammad
Kwamba baba yake Musa , harun na Maryam ambae iliitwa Imran ndio baba yake Mariam aliemzaa Yesu (Isa) fake wa kwenye koran
Kivipi?
Yeye alielekezwa cha kuandika...yani alikuwa ananakili tu.

Wapi Quran imesema baba yake Musa ndio kamzaa mama ake Yesu?
 
Back
Top Bottom