God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

Msome huyu mkristo kasema Muhammad hajui chochote nilichoandika, na kumbuka huyo ni mmoja tu akaona Muhammad anazingua tu akamrudia Yesu wake
Duh yani umeandika mwenyewe ila kusoma hujui.
Nakuquote ulivyoandika
"muhamad knows nothing BUT what I have written for him"

Hapo umeelewa maana ya hiyo But?? Au english haipandi?

Maana yake ni kuwa Muhamad hajui kingine tofauti na hayo aliyofunuliwa ambayo nikamuandikia kwenye karatasi.

Na ni kweli, Muhamad hakuwa msomi, yote aliyoyajua kuhusu historia nk. Ni yale aliyofunuliwa na Allah tu
 
Kwanza ninekwambia ondoa mabano mabano ni nyiongeza ambayo haipo kwenye koran

Farao ni cheo na sio jina kama Muhammad alivyo elewa
Muhammad kaweka farao kama jina la mtu
Haya nimekuruhusu uyaondoe, bado hayabadili kitu.

Acha kujificha kwenye vichaka vya kupoteza muda.

Biblia kumuita Farao kipindi cha yusufu ni makosa makubwa sana, na inaonyesha jinsi ni watu waliochakachua na kuandika wasiyoyajua kipindi cha Musa.
 
Duh yani umeandika mwenyewe ila kusoma hujui.
Nakuquote ulivyoandika
"muhamad knows nothing BUT what I have written for him"

Hapo umeelewa maana ya hiyo But?? Au english haipandi?

Maana yake ni kuwa Muhamad hajui kingine tofauti na hayo aliyofunuliwa ambayo nikamuandikia kwenye karatasi.

Na ni kweli, Muhamad hakuwa msomi, yote aliyoyajua kuhusu historia nk. Ni yale aliyofunuliwa na Allah tu
Acha usanii wewe , secondary umefika kweli?

: "Muhammad knows nothing but what I have written for him.
Sahih bukhari 3617

Muhammad hajui kitu chochote ila nilicho muandikia na hii ndio sababu huyu mkristo akaona Muhammad ni kanjanja tu akarudi zake kwa Yesu
 
Biblia kumuita Farao kipindi cha yusufu ni makosa makubwa sana, na inaonyesha jinsi ni watu waliochakachua na kuandika wasiyoyajua kipindi cha Musa.
Makosa unasema wewe , nimekwambia farao ni cheo na sio jina.

Muhammad katumia farao kama jina la mtu apo ndio alichemka vibaya
 
𝐈𝐬 𝐢𝐭 𝐧𝐨𝐭 𝐚𝐧 𝐢𝐧𝐬𝐮𝐥𝐭 𝐭𝐨 𝐆𝐨𝐝 𝐭𝐨 𝐫𝐞𝐝𝐮𝐜𝐞 𝐆𝐨𝐝 𝐭𝐨 𝐦𝐚𝐧?

1. God comes out of a woman's belly (Matthew 1:18-25)

2. God eats and drinks (Matthew 26:29)

3. God rests (Genesis 2:1-3)

4. God is sleeping (Mark 4:38)

5. God wrestles with Jacob (Gen 32:28)

6. God is dying (1 Corinthian 15:3-4)


𝐁𝐮𝐭 𝐬𝐡𝐨𝐮𝐥𝐝𝐧'𝐭 𝐭𝐡𝐞 𝐟𝐨𝐥𝐥𝐨𝐰𝐢𝐧𝐠 𝐛𝐞 𝐭𝐫𝐮𝐞 𝐢𝐧𝐬𝐭𝐞𝐚𝐝?

1. Not is He begotten; Quran (12:3)

2. He does not need anything Quran (35:15)

3. “He who created the heavens and the earth and does not tire of creating them... Qurna (46:33)

4. Neither heedlessness nor sleep will reach him. Quran (2:255)

5. He has no equal. Quran (2:4)

6. He is always alive. Quran (2:255)

His glory is exalted (and above your attributes). Quran (19:35)

Whoever wants to meet god should know that the time appointed by God will definitely come. Quran (29:5)

𝐑𝐞𝐯𝐢𝐞𝐰 𝐚𝐧𝐝 𝐜𝐨𝐦𝐩𝐚𝐫𝐞 𝐢𝐭𝐞𝐦𝐬 𝐨𝐧𝐞 𝐛𝐲 𝐨𝐧𝐞. 𝐀𝐬 𝐭𝐡𝐞 𝐐𝐮𝐫'𝐚𝐧 𝐬𝐚𝐲𝐬 𝐢𝐧 𝐦𝐚𝐧𝐲 𝐯𝐞𝐫𝐬𝐞𝐬. 𝐓𝐨 𝐫𝐞𝐚𝐝! 𝐋𝐨𝐨𝐤! 𝐓𝐡𝐢𝐧𝐤! 𝐔𝐬𝐞 𝐲𝐨𝐮𝐫 𝐦𝐢𝐧𝐝!View attachment 2457590
Allah is the devil according to holy scriptures
 
Acha usanii wewe , secondary umefika kweli?

: "Muhammad knows nothing but what I have written for him.
Sahih bukhari 3617

Muhammad hajui kitu chochote ila nilicho muandikia na hii ndio sababu huyu mkristo akaona Muhammad ni kanjanja tu akarudi zake kwa Yesu
Uko sahihi maana yake Hajui chochote tofauti na nilichomuandikia.

Alichomuandikia ni kile ambacho Muhamad alikuwa anamwambia kwa mdomo yeye anaandika kwa Kalamu..(Muhamad Hakujua kuandika)

Kwahyo muhamad akimuambia jamaa aandike 2+2=4 jamaa anaandika..ila jamaa akimuuliza Muhamad 3+3=? Muhamad hajui.

Na hajui kwasababu itabidi asubiri mpaka Jibril aje tena Kumuambia
 
Makosa unasema wewe , nimekwambia farao ni cheo na sio jina
Muhammad katumia farao kama jina la mtu apo ndio alichemka vibaya
Ni cheo ambacho hakikuwepo kipindi cha Yusufu na Ibrahimu.

Lakini biblia bado imekitumia hiko cheo kipindu hiko.

Muhamad akaja kusahihisha.

Kwani unaweza kusema Daudi alikuwa Raisi wa wana waisrael??
 
Ni cheo ambacho hakikuwepo kipindi cha Yusufu na Ibrahimu.
Lakini biblia bado imekitumia hiko cheo kipindu hiko.
Muhamad akaja kusahihisha.

Kwani unaweza kusema Daudi alikuwa Raisi wa wana waisrael??
Wewe umejuaje hakikuwepo ? Na hizo ni kazi za wayahudi Muhammad kafanya kuzi copy kaiba mpaka character wa wayahudi
 
Uko sahihi maana yake Hajui chochote tofauti na nilichomuandikia.

Alichomuandikia ni kile ambacho Muhamad alikuwa anamwambia kwa mdomo yeye anaandika kwa Kalamu..(Muhamad Hakujua kuandika)

Kwahyo muhamad akimuambia jamaa aandike 2+2=4 jamaa anaandika..ila jamaa akimuuliza Muhamad 3+3=? Muhamad hajui.

Na hajui kwasababu itabidi asubiri mpaka Jibril aje tena Kumuambia
Mkristo alitubu akarudi kwa Yesu baada ya kujua ni usanii tu anafanya , alikuwa anamuandikia Muhammad Kwa ku copy story za wayahudi na ndio ameandika surah ndefu mbili

Na Kuna mwingine alikuwa anaitwa waraq
 
Wewe umejuaje hakikuwepo ? Na hizo ni kazi za wayahudi Muhammad kafanya kuzi copy kaiba mpaka character wa wayahudi
Wanahistoria wameshamaliza huo mjadala, Cheo cha Ufarao kimeanza kuwepo kipindi cha Mussa.
Kipindi cha Ibrahim na Yusufu hiko cheo hakikuwepo

Wamisri sio kama Wamatumbi, historia yao kubwa iliandikwa kwenye zile heirogliphics.

Ngoja nikupe na source kabisa tusiandikie mate
"The word ‘Pharaoh’ is a title that originates from the Egyptian term ‘per-aa’, literally “great house”, describing the royal palace. Historically, however, “Pharaoh” only started being used as a title for the king much later in Egyptian history, during the New Kingdom period.

This is taken from the book ‘Egyptian Hieroglyphs’ published by the British Museum:

--Dodson, Aidan and Hilton, Dyan. The Complete Royal Families of Ancient Egypt. Thames & Hudson. 2004 page 222
 
Mkristo alitubu akarudi kwa Yesu baada ya kujua ni usanii tu anafanya , alikuwa anamuandikia Muhammad Kwa ku copy story za wayahudi na ndio ameandika surah ndefu mbili

Na Kuna mwingine alikuwa anaitwa waraq
Mtu kubadili imani sio ushahidi kiwa hiyo imani ni uongo.

Mbona wakristo wengi walisilimu na wanasilimu mpaka leo? Na hilo unasemaje?

Mbona una hoja dhaifu sana kijana??

Hao watu kuandika hizo Sura sio kitu cha kushangaa, kwasababu Muhamad alikuwa haandiki alikuwa anatafuta watu wanaojua kuandika anawadictetia imla.
 
Wanahistoria wameshamaliza huo mjadala, Cheo cha Ufarao kimeanza kuwepo kipindi cha Mussa.
Kipindi cha Ibrahim na Yusufu hiko cheo hakikuwepo

Wamisri sio kama Wamatumbi, historia yao kubwa iliandikwa kwenye zile heirogliphics.

Ngoja nikupe na source kabisa tusiandikie mate
"The word ‘Pharaoh’ is a title that originates from the Egyptian term ‘per-aa’, literally “great house”, describing the royal palace. Historically, however, “Pharaoh” only started being used as a title for the king much later in Egyptian history, during the New Kingdom period.

This is taken from the book ‘Egyptian Hieroglyphs’ published by the British Museum:

--Dodson, Aidan and Hilton, Dyan. The Complete Royal Families of Ancient Egypt. Thames & Hudson. 2004 page 222
Ndipo apo Muhammad akajua farao ni jina la mtu

Alipo chemka Sana
Biblia imeandika farao kama cheo na sio jina la mtu
 
Mtu kubadili imani sio ushahidi kiwa hiyo imani ni uongo.
Mbona wakristo wengi walisilimu na wanasilimu mpaka leo? Na hilo unasemaje??
Mbona una hoja dhaifu sana kijana??

Hao watu kuandika hizo Sura sio kitu cha kushangaa, kwasababu Muhamad alikuwa haandiki alikuwa anatafuta watu wanaojua kuandika anawadictetia imla.
Kilichomfanya abadili ni kujua yeye anaandika utunzi wake na Muhammad hajui chochote ndipo alimuona Muhammad ni baba wa uongo akijifanya mtume
 
Ndipo apo Muhammad akajua farao ni jina la mtu

Alipo chemka Sana
Biblia imeandika farao kama cheo na sio jina la mtu
Mkuu mbona wewe ni ngumu sana kuelewa?

Hiko cheo cha farao hakikuwepo kipindi cha Yusufu na Ibrahim
Kwahyo biblia inaposema Yusufu alikutana na Farao ni sawa na kusema Yesu alikutana na Raisi wa Israel.
 
Uko sahihi maana yake Hajui chochote tofauti na nilichomuandikia.

Alichomuandikia ni kile ambacho Muhamad alikuwa anamwambia kwa mdomo yeye anaandika kwa Kalamu..(Muhamad Hakujua kuandika)

Kwahyo muhamad akimuambia jamaa aandike 2+2=4 jamaa anaandika..ila jamaa akimuuliza Muhamad 3+3=? Muhamad hajui.

Na hajui kwasababu itabidi asubiri mpaka Jibril aje tena Kumuambia
Ila Muhammad alikuwa mzinguaji , wakristo wamemsaidia kutunga dini yake mwisho wa siku akachomeka mpaka verse za kiwaua popote walipo, ni pale tu walivyomwambia ukweli hajui kitu ila tumemuandikia
 
Mkuu mbona wewe ni ngumu sana kuelewa???
Hiko cheo cha farao hakikuwepo kipindi cha Yusufu na Ibrahim
Kwahyo biblia inaposema Yusufu alikutana na Farao ni sawa na kusema Yesu alikutana na Raisi wa Israel.
Nitaamini zaidi biblia , hao historian sowaamini biblia ilikuwepo kabla yao
 
Kilichomfanya abadili ni kujua yeye anaandika utunzi wake na Muhammad hajui chochote ndipo alimuona Muhammad ni baba wa uongo akijifanya mtume
Kilichomfanya kubadili ni alipogundua Muhamad hajui mengine nje ya anayofunuliwa.

Ndiyo maana kasema BUT hapo
"He knows nothing But the ones I write for him"

Alichanganya akadhani Muhamad ni Mungu anajua kila kitu...wakati Muhamad ni binadamu tu ambaye nayeye ni kama chombo ambacho mungu alitumia kufikisha Ujumbe wake.
 
Mkuu mbona wewe ni ngumu sana kuelewa???
Hiko cheo cha farao hakikuwepo kipindi cha Yusufu na Ibrahim
Kwahyo biblia inaposema Yusufu alikutana na Farao ni sawa na kusema Yesu alikutana na Raisi wa Israel.
Umekubali ni cheo sawa kwa nini Muhammad akatumia kama jina la mtu
 
Ila Muhammad alikuwa mzinguaji , wakristo wamemsaidia kutunga dini yake mwisho wa siku akachomeka mpaka verse za kiwaua popote walipo, ni pale tu walivyomwambia ukweli hajui kitu ila tumemuandikia
Kwahyo wakristo walimsaidia kujua cheo cha kiongozi wa misri kipindi cha Yusufu kilikuwa ni mfalme sio Farao??
Kwanini hao waKristo wasingerekebisha biblia zao?
 
Back
Top Bottom