God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

Kuhoji na kuamrishwa mbona ni vitu viwili tofauti, mfano polisi wa cheo cha chini anapohoji jambo hapo anakuwa kakataa amri??

Kuhoji ni kutaka kujua, kama utasoma hizo aya mbele wale malaika baada kufahamishwa na Mungu na kujua walisemaje??!--- tofautisha kati ya kutii amri na kuhoji malaika anao uwezo/sifa ya kuhoji ili ajue lakini hana sifa ya kupinga amri.
Wewe ndie unasema Malaika hafanyi chochote mpaka maagizo ya Allah

Nimekuuliza walipo hoji uumbaji wa Allah nani alituma ni Allah aliwaamriaha wahoji au nani?

Na pia kumbuka Allah aliwambia sio wakweli
 
Since the riddle came from the bible I will give you answer from the same book.
God sent His son, what does it mean to be God's son according to Bible?

John 5:18 Therefore Jews sought more to kill him because he not only had broken sabbath, but said also God was his Father, making himself equal with God.
Being God's son means God essence is his essence.
Are there two Gods?
No there is only one God
John 10:30-33 "my father and I are one" ....
The Jews answered him, “It is not for a good work that we are going to stone you but for blasphemy, because you, being a man, make yourself God.”


Those Biblical verses you have presented shows how the Jews misunderstood Jesus thinking him to claim Godship, that is why they even desire to stone him to death for the "blasphemy", if you read the verses deeply you will understand that what you claim that Jesus was God is the same wrong claim the Jews had on Jesus.

They, by mistake regarded Jesus made himself equal to God or rather God himself, by quoting the verses as your defense you repeat the same mistakes of thinking Jesus called/ made himself God as the Jews did.
 
Wewe ndie unasema Malaika hafanyi chochote mpaka maagizo ya Allah

Nimekuuliza walipo hoji uumbaji wa Allah nani alituma ni Allah aliwaamriaha wahoji au nani?

Na pia kumbuka Allah aliwambia sio wakweli


Labda nisema; Malaika anafanya anachoamrishwa, lakini uwezo wa kuhoji anao ili apate kujua. Kumbuka malaika naye anafanya ibada kama sisi na ndio maana wakashangaa wakimuuliza Mungu; atajaalu fiha man yufsidu fiha wa yufsika dimaa??, Yaani , je Allah atamuweka humo ambapo atafanya ufisadi na kumwaga damu ilhali sisi tunakutukuza??, Mungu akawajibu; anaa a'lamu maa laa taa'lamuna, yaani mimi ninajua kile msichojua. Hapo masna yake ni kwamba Malaika ni nafsi zinazojitambua.na zimepewa uwezo wa kuhoji ili zijue lakini hazina uwezo wa kupinga AMRI (hii ni kwa mujibu wa Qur'an kwamba Malaika wanatii amri), na kuhoji sio kupinga amri.
 
Naona siku za karibuni Ukristo unashambuliwa kweli. Kuna Siri nyuma ya mashambulizi haya.
 
Kwa maana hiyo Allah ndio aliwaamrisha wamuhoji kuhusu uumbaji wa Adam?


Malaika ni viumbe wanajitambua kama sisi binadamu tunavyojitambua, kujitambua ni hali ya kujijua wewe ni nani, upo duniani kwa ajili gani, mama, baba, mtoto na ndugu zako ni nani, Mungu wako ni Mungu gani? nk, Wanyama hawajitambui na kamwe hawawezi kujiuliza maswali hayo, Malaika naye anayo njia yake ya kujitambua na ndio maana wakaweza kumuuliza Mungu kwa kitu wasichojua, hii pia Mungu alitaka kutufahamisha kwamba licha ya malaika kuwa kitendea kazi cha Mungu (God agent) lakini ni kiumbe anayejitambua kwa namna yake ( conscious beings in their styles set by God).
 
Naona siku za karibuni Ukristo unashambuliwa kweli. Kuna Siri nyuma ya mashambulizi haya.
Hamna siri yoyote mkuu ni wajibu wetu kuelimisha ndugu zetu wasio jua kwamba Allah ni omnipotent omni present, Mungu hali wala halali, wakiristo walisha potea tuwalikeni warudi barabarani waache kuabudu miungu. Wanaswara( Christians) wanatambuliwa katika Quran tukufu ila sio kama hawa wa leo.
 
Labda nisema; Malaika anafanya anachoamrishwa, lakini uwezo wa kuhoji anao ili apate kujua. Kumbuka malaika naye anafanya ibada kama sisi na ndio maana wakashangaa wakimuuliza Mungu; atajaalu fiha man yufsidu fiha wa yufsika dimaa??, Yaani , je Allah atamuweka humo ambapo atafanya ufisadi na kumwaga damu ilhali sisi tunakutukuza??, Mungu akawajibu; anaa a'lamu maa laa taa'lamuna, yaani mimi ninajua kile msichojua. Hapo masna yake ni kwamba Malaika ni nafsi zinazojitambua.na zimepewa uwezo wa kuhoji ili zijue lakini hazina uwezo wa kupinga AMRI (hii ni kwa mujibu wa Qur'an kwamba Malaika wanatii amri), na kuhoji sio kupinga amri.
FUTA kauli Yako ya mwanzo kwamba hawatendi mpaka waambiwe,

Alafu walijuaje binadamu watamwaga damu? Nani aliwambia
 
Malaika ni viumbe wanajitambua kama sisi binadamu tunavyojitambua, kujitambua ni hali ya kujijua wewe ni nani, upo duniani kwa ajili gani, mama, baba, mtoto na ndugu zako ni nani, Mungu wako ni Mungu gani? nk, Wanyama hawajitambui na kamwe hawawezi kujiuliza maswali hayo, Malaika naye anayo njia yake ya kujitambua na ndio maana wakaweza kumuuliza Mungu kwa kitu wasichojua, hii pia Mungu alitaka kutufahamisha kwamba licha ya malaika kuwa kitendea kazi cha Mungu (God agent) lakini ni kiumbe anayejitambua kwa namna yake ( conscious beings in their styles set by God).
Malaika kwa waislamu ana freewill?
 
Those Biblical verses you have presented shows how the Jews misunderstood Jesus thinking him to claim Godship, that is why they even desire to stone him to death for the "blasphemy", if you read the verses deeply you will understand that what you claim that Jesus was God is the same wrong claim the Jews had on Jesus.

They, by mistake regarded Jesus made himself equal to God or rather God himself, by quoting the verses as your defense you repeat the same mistakes of thinking Jesus called/ made himself God as the Jews did.
He spoke their language and they understood their religion the thought that they misunderstood him it does not make sense because they were teachers of Moses law!
For example
John 8:58
[58] verily,verily, verily I say unto you before Abraham was, I AM.
[59]Then took they up stones to cast at him: but Jesus hid himself, and went out of the temple, going through the midst of them, and so passed by.

In Hebrew the when he say I AM it is said as "ehyeh" this is holy name the name of God, in their tradition they are not allowed to say it and the one who say according to the law of Moses should be stoned to death.
They knew exactly what he meant that why they cast stones unto him
 
FUTA kauli Yako ya mwanzo kwamba hawatendi mpaka waambiwe,

Alafu walijuaje binadamu watamwaga damu? Nani aliwambia


Mokiti, sasa unataka kufurahisha watu tucheke tuu🤣

Hivi kusema, kuhoji ni sawa na kutenda??!!, matendo ni sawa na maneno??, malaika wanao uwezo wa kusema na kuhoji lakini hawana uwezo wa KUTENDA wasichoamrishwa, mkuu vipiiii??!!, hata lugha na matumizi ya maneno hujui kweli!
 
Mokiti, sasa unataka kufurahisha watu tucheke tuu🤣

Hivi kusema, kuhoji ni sawa na kutenda??!!, matendo ni sawa na maneno??, malaika wanao uwezo wa kusema na kuhoji lakini hawana uwezo wa KUTENDA wasichoamrishwa, mkuu vipiiii??!!, hata lugha na matumizi ya maneno hujui kweli!

Kuna maswali
1 , Malaika waislamu Wana freewill ?
2. Kumuhoji Allah ni utomvu wa nidhamu au la?
3. Malaika walisema kweli binadamu watamwaga damu je walijuaje ? Na Kwa Nini Allah aliwambia sio wakweli na wakati wamesema kweli?
4. Jibril ni Roho mtakatifu au Malaika
 
He spoke their language and they understood their religion the thought that they misunderstood him it does not make sense because they were teachers of Moses law!
For example
John 8:58
[58] verily,verily, verily I say unto you before Abraham was, I AM.
[59]Then took they up stones to cast at him: but Jesus hid himself, and went out of the temple, going through the midst of them, and so passed by.

In Hebrew the when he say I AM it is said as "ehyeh" this is holy name the name of God, in their tradition they are not allowed to say it and the one who say according to the law of Moses should be stoned to death.
They knew exactly what he meant that why they cast stones unto him


Jesus saying that he was before Abraham etc, still is not sufficient point for him to be God, Jesus is highly known to be Parables ACUMEN and I take that saying of his as such, afterall there were many people who had lived before Abraham then why Jesus mentioned Abraham only and not any other man like Adam or Noah??, the saying is a parable which does not associate Jesus to Godship.
 
Jesus saying that he was before Abraham etc, still is not sufficient point for him to be God, Jesus is highly known to be Parables ACUMEN and I take that saying of his as such, afterall there were many people who had lived before Abraham then why Jesus mentioned Abraham only and not any other man like Adam or Noah??, the saying is a parable which does not associate Jesus to Godship.
He use Abraham and not Adam because they asked him you are young and you have you seen Abraham.
Choice of words, he should have say before Abraham was born i was there. But he says "before Abraham was born,I AM" In Jewish traditions they are not allowed to use the word "I AM" by it self only God is Allowed..why??
exodus 3:14
[14]Thus shalt thou say unto the children of Israel, "I AM" hath sent me unto you.

if you read the bible you will observe that both I AM are written in capital letters.
 
Kuna maswali
1 , Malaika waislamu Wana freewill ?
2. Kumuhoji Allah ni utomvu wa nidhamu au la?
3. Malaika walisema kweli binadamu watamwaga damu je walijuaje ? Na Kwa Nini Allah aliwambia sio wakweli na wakati wamesema kweli?
4. Jibril ni Roho mtakatifu au Malaika


Swali namba 1

Kama nimekulewa vyema swali lako; --- Kazi ya malaika ni kutii amri kutoka kwa Mungu, kufanya ibada na ikibidi kuuliza wasichojua ili wajue.

Swali la pili, kumuhoji Allah (Mungu) kwa kutaka kujua sio dhambi.

Swali la tatu, Malaika walijuaje kwamba binadamu atamwaga damu, Mungu aliwajulisha malaika tabia za za kumwaga damu za binadamu lakini hakuwajulisha tabia njema za binadamu ndio maana malaika wakahoji juu ya Mungu kumweka mmwagaji damu duniani-- wao walikuwa wanajua A side tu B side ya mtu Mungu hakuwajulisha, ukisoma aya za chini yake malaika walikiri kwamba; sisi hatujui ishipokuwa kile ulichotujulisha.

Jibril ni Roho mtakatifu au malaika??--- Roho mtakatifu ni malaika, na kuna aina kuu 4 za hao malaika/Roho mtakatifu na mmojawapo ni huyo Jibril.
 
Jesus saying that he was before Abraham etc, still is not sufficient point for him to be God, Jesus is highly known to be Parables ACUMEN and I take that saying of his as such, afterall there were many people who had lived before Abraham then why Jesus mentioned Abraham only and not any other man like Adam or Noah??, the saying is a parable which does not associate Jesus to Godship.
Look at the version called Aramaic Bible in plain English the same sentence is written as follows
Yeshua said to them: “Timeless truth I speak to you: Before Abraham would exist, I AM THE LIVING GOD.”
 
Swali namba 1

Kama nimekulewa vyema swali lako; --- Kazi ya malaika ni kutii amri kutoka kwa Mungu, kufanya ibada na ikibidi kuuliza wasichojua ili wajue.

Swali la pili, kumuhoji Allah (Mungu) kwa kutaka kujua sio dhambi.

Swali la tatu, Malaika walijuaje kwamba binadamu atamwaga damu, Mungu aliwajulisha malaika tabia za za kumwaga damu za binadamu lakini hakuwajulisha tabia njema za binadamu ndio maana malaika wakahoji juu ya Mungu kumweka mmwagaji damu duniani-- wao walikuwa wanajua A side tu B side ya mtu Mungu hakuwajulisha, ukisoma aya za chini yake malaika walikiri kwamba; sisi hatujui ishipokuwa kile ulichotujulisha.

Jibril ni Roho mtakatifu au malaika??--- Roho mtakatifu ni malaika, na kuna aina kuu 4 za hao malaika/Roho mtakatifu na mmojawapo ni huyo Jibril.
Rudia kujibu na Kuna swali jipya
1 . Malaika muislamu ana freewill au hana ?
2 . Allah alisema alipuliza Roho zao ndani ya uke wa Mariam je ni jibril aliingia au ni nini ?
 
Swali la tatu, Malaika walijuaje kwamba binadamu atamwaga damu, Mungu aliwajulisha malaika tabia za za kumwaga damu za binadamu lakini hakuwajulisha tabia njema za binadamu ndio maana malaika wakahoji juu ya Mungu kumweka mmwagaji damu duniani--
Aliwajulisha ndio maana wakahoji? Wapi kwenye Koran imeandikwa aliwajulisha ?

Kumbuka aliwambia ni sio wakweli ? Na akatunga kisa Cha kijinga kuthibisha sio wakweli
 
Jibril ni Roho mtakatifu au malaika??--- Roho mtakatifu ni malaika, na kuna aina kuu 4 za hao malaika/Roho mtakatifu na mmojawapo ni huyo Jibril.
Kwa hivyo Koran ilivyo tufautisha Roho na Malaika , Allah kakosea?
 
Back
Top Bottom