Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #61
Aseeee😲😲😲Wengine tumejaaliwa kuwa nazo mpaka sehem izo na nyuma ya magoti
Aseeee😲😲😲Wengine tumejaaliwa kuwa nazo mpaka sehem izo na nyuma ya magoti
KabisaaaHaha!wana uzi wao sio?
Loooooh we mama weka kapicha basi zile za kwenye nanii kwa juuWengine tumejaaliwa kuwa nazo mpaka sehem izo na nyuma ya magoti
Eeeh... halafu sio za vurugu.. zimepangiliwa vizuri 🥰 Mungu fundi🙌Aseeee😲😲😲
Sim haina camera😂Loooooh we mama weka kapicha basi zile za kwenye nanii kwa juu
Acha hizo mama nanii jaman tunaona tu ili tumsifu Mungu kwa uumbaji wakeSim haina camera
Tumia jina la id yako kuzipata mkuu😂Acha hizo mama nanii jaman tunaona tu ili tumsifu Mungu kwa uumbaji wake
Hizo wameweka hazina uhalisia kama ww ukiweka zako mpyaaTumia jina la id yako kuzipata mkuu
Hakuna jipyaHizo wameweka hazina uhalisia kama ww ukiweka zako mpyaa
Lipo ni vile unakataa tuHakuna jipya
😅😅😅😅Hakuna jipya
Hahahahh kabisaaaDimples plus kamwanya flani hivi amaizing. Unaweza kuhonga mpaka nyumba ya urithi
Kabisaaa mkuuAyeeeee….
Wanameza Fanta hao!!!Hawa wana upekee wao wana nafasi pana sana moyoni mwangu
😅😅😅😅😅😅Wanameza Fanta hao!!!
HatariiDimples plus kamwanya flani hivi amaizing. Unaweza kuhonga mpaka nyumba ya urithi
Duuuh😀😅Wanameza Fanta hao!!!
😅😅😅Sawa....