Aiiiii, sijaona mwenye aibu hapo kwakweli1st day tunaongea kwa simu. Sikucheka? Maneno kidogo kucheka kwingi π€£π€£
Ndii aibu zenyewe hizo
Ndo maishaHivi mkuu, si wewe uliyezama kwenye swimming pool?
Tangu uzame umekuwa korofi sanaπππ
ππππnina madimple ya matacore ππππππππWeee kumbe nawe umo π€£
Cheka basi tuone
πIrudishe bhana
Duuuuh halafu inatakiwa tuanzishe uzi mwingine wa girls with stretch markπ π πππππnina madimple ya matacore ππππππππ
π π πIla dimpoz jaman! Bas tu siko ke ningejidrill mashavu
π π π πNdo maisha
πππππsi mnazipendaga ππDuuuuh halafu inatakiwa tuanzishe uzi mwingine wa girls with stretch markπ π π
Sanaaa sjui mie ni mgonjwa wa hizo mark nkiziona tu kwisha habari yangu.πππππsi mnazipendaga ππ
πππππdahSanaaa sjui mie ni mgonjwa wa hizo mark nkiziona tu kwisha habari yangu.
Naomba nizionenina madimple ya matacore
****-nisha nini ππππNaomba nizione
Dah!****-nisha nini
Akiona shemeji ako inatosha tulia kijaana