TAMISEMI imetoa maelekezo kuwa gharama ya kujenga darasa moja kwa fedha za msaada wa Covid-19 ni Tshs.20,000,000. Kama majengo haya yatajengwa na Wakandarasi waliosajiliwa naona haya hayakutiliwa maanani:-
(1) Mkandarasi aliyesajiliwa anapolipwa lazima akatwe withholding tax ambayo ni 10% ya gharama ya mradi.
(2) Lazima alipe insurance kwa jengo analojenga
(3) Kama ikibidi atatengeneza samani kwa fedha hiyo
(4) Nchi nzima gharama ni 20M bila kujali umbali na maeneo ya nchi. Mfano bei ya saruji kwa Wilaya ya Tunduru, Nkasi, Kyerwa, Rorya, Kigoma Vijijini, Uvinza, Nachingea n.k siyo sawa na Ilala, Morogoro, Tanga.
Mbona vitu kama hivi havikutiliwa maanani na Tamisemi? Kwa gharama zilizotolewa na Tamisemi itamlazimu Mkandarasi ajishauri sana kabla ya kuomba kandarasi hii.
(1) Mkandarasi aliyesajiliwa anapolipwa lazima akatwe withholding tax ambayo ni 10% ya gharama ya mradi.
(2) Lazima alipe insurance kwa jengo analojenga
(3) Kama ikibidi atatengeneza samani kwa fedha hiyo
(4) Nchi nzima gharama ni 20M bila kujali umbali na maeneo ya nchi. Mfano bei ya saruji kwa Wilaya ya Tunduru, Nkasi, Kyerwa, Rorya, Kigoma Vijijini, Uvinza, Nachingea n.k siyo sawa na Ilala, Morogoro, Tanga.
Mbona vitu kama hivi havikutiliwa maanani na Tamisemi? Kwa gharama zilizotolewa na Tamisemi itamlazimu Mkandarasi ajishauri sana kabla ya kuomba kandarasi hii.