Ghana Yapitisha Sheria Kali Dhidi ya Ushoga

Ghana Yapitisha Sheria Kali Dhidi ya Ushoga

bless on

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2026
Posts
510
Reaction score
1,171
Ghana imepitisha moja ya sheria kali zaidi barani Afrika dhidi ya ushoga baada ya Bunge kuidhinisha Muswada wa Haki za Kijinsia za Binadamu na Maadili ya Familia wa mwaka 2025.

Sheria hiyo inaweka adhabu ya kifungo cha hadi miaka mitatu kwa vitendo vya ushoga, na hadi miaka mitano au zaidi kwa mtu yeyote atakayehamasisha, kuunga mkono au kufadhili shughuli zinazohusishwa na ushoga

Pia sheria hiyo inahusu baadhi ya maonesho ya hadharani ya mapenzi na maudhui fulani yanayochapishwa au kurushwa kupitia vyombo vya habari.
 
Ghana imepitisha moja ya sheria kali zaidi barani Afrika dhidi ya ushoga baada ya Bunge kuidhinisha Muswada wa Haki za Kijinsia za Binadamu na Maadili ya Familia wa mwaka 2025.
Sheria hiyo inaweka adhabu ya kifungo cha hadi miaka mitatu kwa vitendo vya ushoga, na hadi miaka mitano au zaidi kwa mtu yeyote atakayehamasisha, kuunga mkono au kufadhili shughuli zinazohusishwa na ushoga

Pia sheria hiyo inahusu baadhi ya maonesho ya hadharani ya mapenzi na maudhui fulani yanayochapishwa au kurushwa kupitia vyombo vya habari.
Hi ina promote ushoga bila kujua.

Hata sasa hivi tunaongelea ushoga hapa.

Watapigwa kwenye utalii na misaada sasa hivi hawa.
 
Hi ina promote ushoga bila kujua.

Hata sasa hivi tunaongelea ushoga hapa.

Watapigwa kwenye utalii na misaada sasa hivi hawa.
Ku promote vip mkuu si wanajulishwa kwamba Kuna adhabu ili waache tabia hiyo
 
Ku promote vip mkuu si wanajulishwa kwamba Kuna adhabu ili waache tabia hiyo
Kwanza kabisa dhana nzima ya kuwaadhibu watu waache tabia fulani ni dhana ya kizamani sana imepitwa na wakati. Ndiyo maana kuna nchi zina adhabu kali na uhalifu hauishi, halafu kuna nchi zimeondoa ujinga wa adhabu kali na zimefanikiwa kupunguza uhalifu sana. Kwa hiyo umeanza na ujinga mwanzo kabisa.

Na sikusudii ujinga kama tusi, nakusudia ujinga kama kutojua kitu.

Pili, mambo ya sexual orientation ni haki ya kibinadamu ya mtu inayotambuliwa kimataifa, sasa unamuadhibu vipi mtu kwa kutumia haki yake ya kibinadamu, tena wakati umeshasaini mikataba ya kimataifa kwamba utaitambua haki yake hiyo?

Waafrika hatujui tunataka nini.

Tunataka kwenda na dunia ya leo ya haki za binadamu na kuheshimu dignity ya maamuzi ya watu binafsi katika sexual orientation, halafu hapo hapo tunataka ujinga, uhafidhina, na sheria za kuwaingilia watu katika mambo yao binafsi kama ya sexual orientation.

This is schizophrenic.
 
Back
Top Bottom