Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Source haina kichwa wala miguu, BBC News - Home wamesema ni watu 32. Pls unapotoa taharifa hakikisha source yako ni ya uhakika, tuache mambo ya upuuzi kwenye janga la Taifa.
Usiwe Zezeta Januari mpk Disemba...
Hao BBC walitangaza kuwa waliokufa kwenye maandamano kule Arusha walikuwa 10....
Sasa kuna ukweli wowote hapo?
Hao nao wakurupukaji tu kama Makamba.