The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hivi mkuu hauna klorokwini kwa ajili ya uporoto01.kalibu tena mkurugenzi! hii sredi yako inatufunza kwamba malaria haikubaliki kabisa. kwa pamoja tusemeni "baba hapendi"
Hivi mkuu hauna klorokwini kwa ajili ya uporoto01.kalibu tena mkurugenzi! hii sredi yako inatufunza kwamba malaria haikubaliki kabisa. kwa pamoja tusemeni "baba hapendi"
haisaidii mkuu! jamaa klorokwini anaona kama lolipop tu. la kufanya ni kumuombea aflodenzi apigwe ban hapa jf. hii ndio ze onli opshen availebo. naongea nikiwa kama dr. wa mambo ya mahusiano na cheating in east africa mashariiki na katiHivi mkuu hauna klorokwini kwa ajili ya uporoto01.
Masa mbona unanimaliza mapema ningali nikipumua na shemeji yako umeishaanza kumpigia hesabu mapema
Unaonaje kama tukimgonga ban uporoto01 ya miezi 6haisaidii mkuu! jamaa klorokwini anaona kama lolipop tu. la kufanya ni kumuombea aflodenzi apigwe ban hapa jf. hii ndio ze onli opshen availebo. naongea nikiwa kama dr. wa mambo ya mahusiano na cheating in east africa mashariiki na kati
Ha ha ha umenikumbusha yule jamaa aliyekuanzishia sredi eti kwanini una THANKS nyingiMkuu si unajua ule usemi uonapo tai angani basi jua mzoga upo jirani
neema,amani na baraka za bwana zikae juu yako.amenupone kwa muujiza wa jina la yesu.nipo mlimani nakuombea.
Ha ha ha umenikumbusha yule jamaa aliyekuanzishia sredi eti kwanini una THANKS nyingi
Ha ha ha lolYule jamaa alipotea choo akakuta kwa wanaume hawachuchumai!
Ha ha ha lol
Hahaha!Mkuu hizi taarifa potofu ni kama za Arusha eti kulikuwa na magaidi kutoka Colombia mi AD ni rafiki wa kawaida labda ukiachia mzigo ndio nianze na sitaomba ufe kama Rev.Mkuu nasikia umeishaanza kushambulia ngome yangu lol!
Hivi ni wewe swahiba ? wandengereko wana ngoma yao inaitwa 'nikitoka kidogo nyuma wanisengenya'haisaidii mkuu! jamaa klorokwini anaona kama lolipop tu. la kufanya ni kumuombea aflodenzi apigwe ban hapa jf. hii ndio ze onli opshen availebo. naongea nikiwa kama dr. wa mambo ya mahusiano na cheating in east africa mashariiki na kati
Hivi ni wewe swahiba ? wandengereko wana ngoma yao inaitwa 'nikitoka kidogo nyuma wanisengenya'
mmmmh just passng by