Get well soon Lady Doctor!

Get well soon Lady Doctor!

get well.jpg
pacha wangu Lady doctor!!!!!

 
Last edited by a moderator:
Wakuu kusema kweli shemeji yenu/wifi yenu Lady doctor anaumwa na tumbo, madaktari wamempima wamemkuta na tatizo la food poison ambalo hutokana na vyakula tuvilavyo hasa mboga za majani zilizowekwa mbolea za viwandani muda mfupi kabla ya kuvunwa na kuuzwa au matunda and so on.

Alimeza dawa jana ila leo ndio amefanyiwa vipimo kwa kina baada ya hali yake kutobadilika sana baada ya dawa za jana.
Sasa ameshatumia dawa na amelala, nitawajulisheni hali yake baadaye.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu kusema kweli shemeji yenu/wifi yenu Lady doctor anaumwa na tumbo, madaktari wamempima wamemkuta na tatizo la food poison ambalo hutokana na vyakula tuvilavyo hasa mboga za majani zilizowekwa mbolea za viwandani muda mfupi kabla ya kuvunwa na kuuzwa au matunda and so on.

Alimeza dawa jana ila leo ndio amefanyiwa vipimo kwa kina baada ya hali yake kutobadilika sana baada ya dawa za jana.
Sasa ameshatumia dawa na amelala, nitawajulisheni hali yake baadaye.
 
Last edited by a moderator:
Ongeza ......... mke mwenzenu,
mpe pole sana.

Wakuu kusema kweli shemeji yenu/wifi yenu Lady doctor anaumwa na tumbo, madaktari wamempima wamemkuta na tatizo la food poison ambalo hutokana na vyakula tuvilavyo hasa mboga za majani zilizowekwa mbolea za viwandani muda mfupi kabla ya kuvunwa na kuuzwa au matunda and so on.

Alimeza dawa jana ila leo ndio amefanyiwa vipimo kwa kina baada ya hali yake kutobadilika sana baada ya dawa za jana.
Sasa ameshatumia dawa na amelala, nitawajulisheni hali yake baadaye.
 
Wakuu kusema kweli shemeji yenu/wifi yenu Lady doctor anaumwa na tumbo, madaktari wamempima wamemkuta na tatizo la food poison ambalo hutokana na vyakula tuvilavyo hasa mboga za majani zilizowekwa mbolea za viwandani muda mfupi kabla ya kuvunwa na kuuzwa au matunda and so on.

Alimeza dawa jana ila leo ndio amefanyiwa vipimo kwa kina baada ya hali yake kutobadilika sana baada ya dawa za jana.
Sasa ameshatumia dawa na amelala, nitawajulisheni hali yake baadaye.

Dadeki Arushaone hiyo food poison ilinikumba na mie kamanda.. W/end mie nilikuwa hoi yaani leo ndo ninaweza kusema niko fine.. Halafu hilo limekuwa tatizo maana so far ninafahamu kesi kama 8 zinazofanania hii.. Pole zake sana Lady doctor..
 
Last edited by a moderator:
pole sana Lady doctor mungu atakusaidia utapata nafuu mpenzi na kurudi katika majukumu yako ya kila siku. ahsante pia Erickb52 kwa taarifa.
 
Last edited by a moderator:
Mr & Mrs imebaki historia marejesho keshaolewa zake

Good news!!!! Filipo alizoea kutukoga sana.

Yamekuwa hayo?? Kwa hiyo St. Paka Mweusi keshajimilikisha mzigo sio? Ohh mke wangu marejesho analea mtoto kumbe fix za Filipo tu. Hayo mambo yaliharibikia pale WHITE PARTY 2012 wajanja tunajua.
St. Paka Mweusi popote ulipo msalimie sana mkeo marejesho na huyo mtoto wenu.

Kalaghabhao ndg yangu Filipo zubaa uchekwe... hamia eatel fasta.


Ahsante kwa taarifa Erickb52.
 
Last edited by a moderator:
Mr & Mrs imebaki historia marejesho keshaolewa zake

Good news!!!! Filipo alizoea kutukoga sana.

Yamekuwa hayo?? Kwa hiyo St. Paka Mweusi keshajimilikisha mzigo sio? Ohh mke wangu marejesho analea mtoto kumbe fix za Filipo tu. Hayo mambo yaliharibikia pale WHITE PARTY 2012 wajanja tunajua.
St. Paka Mweusi popote ulipo msalimie sana mkeo marejesho na huyo mtoto wenu.

Kalaghabhao ndg yangu Filipo zubaa uchekwe... hamia eatel fasta.


Ahsante kwa taarifa Erickb52.


Hah hah hah ahahah hahaah ahhhha!!!!!
Hapa ngoja aje awasute,

cc: marejesho!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom